mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hyo inawafata matajiri na WENYE PESA ZAO.ukiwa na afya mgogoro ikikugusa Tu.
Safariii
Safariii
jitanganye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jitanganye
Kila mtu ni muhimu duniani hapa,mbona hata ambao sio viongozi wanafarikiTatizo la Corona bwana inachagua watu muhimu
Ina maana katibu mkuu kiongozi hawakumpa chanjo!?Wa juu wote wamaeshapigwa chanjo kutoka china ,wapo kama 80 hivi ,ndio maana utamuona Katelephone,Betina,SABUFA,MEKO etc wanazunguka bila barakoa.
Kwa mahesabu gani ???...misiba ni mingi sana.
Ukiwa ni kijana halafu unao (ukmwi), halafu ukutane na bwana Taji ,sasa hivi tuonane ParadisoWanakufa pia. Unajua hujui nn kipo kwenye mwili wako, hujui udhaifu uliopo ndani. Unaweza kuwa mzima kabisa kumbe huwa una katatizo ndani ila kwa vile hushambuliwi na maradhi unakuwa salama. Vifo vipo vya watu wa aina zote.
Acha kabisa.Ukiwa ni kijana halafu unao (ukmwi), halafu ukutane na bwana Taji ,sasa hivi tuonane Paradiso
Kuna ndugu yangu kijana 35 yrs imemwondoa! Usijipe imani sana.Vijana sio rahsi
Ukiwa na magonjwa hatarishi inakuondoa fasta, kisukari, moyo, pumu, ukimwi.Kuna ndugu yangu kijana 35 yrs imemwondoa! Usijipe imani sana.