moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,151
- 2,979
Pole sana meneja ajali kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
District manager, labda kama waliuboresha muundo kilikuwa ni cheo cha usimamizi tu kisichokuwa na maana yeyote ile.Siku hizi TRA hakuna maokoto ya kutosha mpaka viongozi mnafanya biashara haramu?
top level manager kabisa, umezingua sana
Aisee.. wachina ndio wafanyabiashara wazuri wa hizi kitu.. 😅Hii biashara za mihogo ina mambo mengi,ukiletewa mezani
Mipesa yake inatamanisha sana
Ni biashara unayotakiwa kuwa na mtandao mpana
Longtime sana,ndy nakutana na malkia wa pembe za ndovu hotelini kwake pale beijing opp na shoppers plaza
Pale si kulikuwa na wageni wengi kutoka China wanafikia,kumbe yule mama alikuwa anaona sana pilika zangu nkiingia pale kuwafTa wageni wangu wachina....ananisoma tu....
Sasa kuna siku yule mama akaniita akasema nna maongezi na wewe,tukapanga siku ya meeting pale ....
Siku naonana naye sasa akaanza kuniambia ebwana ehh yule mama alikuwa anajuwa kila kitu nachofanya na wale wachina 😄
Yule mama wa kichina naye,baada ya kuona pilika zangu na ufaster wangu kwa wale wageni wa kichina akavutiwa na mm sasa,kukawa na ukaribu
Yule mama alikuwa anajuwa dili bana Ana michakato kibaooo
Hawa sjui wakubwa marpc polisi anaongea wakat wowote
Sasa kuna siku hyo aliinita akaniambia kwake watakuja wageni kutoka China na nia yao waende kongo wakanunue dhahabu na wanakuja na mshiko mkubwa,sasa yeye anasema wakifika anataka kuwapiga helaa
😄 nakumbuka issue ilisikilizwaa lakini mwisho wa siku wale wageni kutoka China hawajaja kwake walionganisha juu kwa juu 😄
Yule mama alilaani sana akasema hawa walisoma nyakati
Sasa tukawa una ukaribu fulani akiwa na issue tunaongea,nakumbuka wakat balloon gari zinatoka alinunua alikaa nayo wiki tu akaibiwa,polisi wana haha kumpigia masimu wamsaidie kuitafuta mama anasemaa achaneni nayoo tu
😄
Sasa kuna siku nmekaa naye ndy akawa ananielezea kuhusu biashara ya pombe za ndovu na kama alitaka kuniingiza,nkasema hapana hii issue syo badaye huwa inabuma,sema kama mtu wa tamaa na hujuwi kucaLculate
Risk ....unapoteaaa
Ova
Mwamba kachomwaaa
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.
Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
HUJUI MABOSI NDIO MAJAMBAZI MKUUMENEJA YUPI MBONA ANA SURA YA JAMBAZI KABISA HUYU
Dah huyu ni kijana mdogo sana na huwezi kumzania kwa mda niliowahi kukutana nae kibondo dah ni mtu poa sana sana nazani pia kachomwa na walikua wana mfuatilia bila yy kujua dah!pole yake
HUJUI MABOSI NDIO MAJAMBAZI MKUU
Sina uhakika kama kasomea uchumiHUJUI MABOSI NDIO MAJAMBAZI MKUU
Kama hakuwaonea huruma tembo wasiokuwa na hatia, alikuwa akizionea huruma Kodi za Watanzania?
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.
Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nchi imeoza bora Kila Moja awe mwizi tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu kachomeshwaa hapo.Sasa kama meneja wa TRa kawa jangili hawa mameneja wa serikali za mitaa si watatunyonga kabisa wallah nchi imeoza na ukute hapo kuna bwanyenye moja nalo lilikosa mgao safari hii likasema utaona nakuchoma