Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni njaa gu inakufanya uamini ukiwa mfanyakazi utakuwa mwadilifu ila ukweli ni kwqmba kila Mtanzania anaajiriwa kwa lengo la kuibaYani kama ndo hivi basi mimi nitakufa masikini.Yani meneja TRA kabisaaa,wakati mimi nikipata nafasi hii nitakuwa mwadilifu sanaaaa.
Huyu kijana atakuwa ni tajiri sana sana,maana huku TRA anapiga huku meno daaah.
Dah huyu ni kijana mdogo sana na huwezi kumzania kwa mda niliowahi kukutana nae kibondo dah ni mtu poa sana sana nazani pia kachomwa na walikua wana mfuatilia bila yy kujua dah!pole yake
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.
Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
In shaa Allah, hivi hivi mdogo mdogo. Mimi naandika nnachokikumbuka inapotokea, Alama Mohamed Said ndiyo fani yake historia.Wewe Bibi andika MAKALA za historia kama Mzee Mohamed Said ,una vitu vingi vya kihistoria vijana wa 2000 wajifunze.
Za mwizi 40.Dah huyu ni kijana mdogo sana na huwezi kumzania kwa mda niliowahi kukutana nae kibondo dah ni mtu poa sana sana nazani pia kachomwa na walikua wana mfuatilia bila yy kujua dah!pole yake
Bora Yusuph Mwenda kateuliwa kuwa kamishna haya yote yataisha.Kama aina hii ya watu ndio Watumishi wa Umma tena wenye dhamana kubwa,unategemea Kodi ya Wananchi itakuwa salama?
---
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo.
Mutegeki amekamatwa na nyara hizo za Serikali wilaya ya Kibondo Julai 2,2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya tembo kutoka wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Hata hivyo kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za mauaji ya tembo katika misitu na hifadhi zilizopo katika wilaya ya Kibondo na Kakonko.
Taarifa kutoka wilayani humo inaonyesha kuwa kuna jitihada za kuficha suala hilo kwa kutengenezwa mazingira ya rushwa ili kulimaliza jambo hilo ambalo ni uhujumu uchumi.
My Take
Sitaki kuamini kama wenye pesa Huwa wanafungwa,Wacha tuone.
Mmejaa udini tu hamna lolote.In shaa Allah, hivi hivi mdogo mdogo. Mimi naandika nnachokikumbuka inapotokea, Alama Mohamed Said ndiyo fani yake historia.
Sasa huko kibondo kuna mapato gani hadi dili likubali?Siku hizi TRA hakuna maokoto ya kutosha mpaka viongozi mnafanya biashara haramu?
top level manager kabisa, umezingua sana
Lenye Fisi wa madoadoa😂😂😂😂😂 unalijua pori la katavi?
Kibondo hakuna udhibiti, hakuna usimamizi imara kwani haijulikani mamlaka za utawala ziko wapi kati ya Burundi Rwanda na Tanzania.... Ndio maana watumishi na mamlaka zake wako huru kufanya watakalo.Sasa huko kibondo kuna mapato gani hadi dili likubali?
Polisi wa TZ nawafahamu sana kwa kubambikia watu kesiHaimaanishi kwamba hawezi kuwa mwizi, ila Kama utaamini kila taarifa ya Polisi ni kwa sababu hayajakukuta.
Kila nikiwaza hao fisi mwili unasisimka! 😂Lenye Fisi wa madoadoa
Sina uhakika kama alifilisika ama la, kwa sababu sijui background yake. Kikubwa ana biashara zake zinaendelea pale Mabamba Kibondo. Kumiliki matingatinga ya kujenga barabara si mtaji mdogo. Mpaka nilijiuliza, mtu wa kipato kile anawezaje kukaa kijijini Mabamba na aache kukaa mjini Kigoma, ama basi Kibondo mjini? Lazima kuna magumashi ana deal nayo.Inawezekana, una maana alifilisika? Maana alikuwa tajiri mkubwa Burundi. Siku hizo Bakhresa bado anauza viatu mtaa wa Uhuru.
imi nafahamu kaka wa mchambuzi ni yule Captain wa ndege aliyeshikwa na Dhahabu, enzi za Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.
"Kama aina hii ya watu ndio Watumishi wa Umma tena wenye dhamana kubwa,unategemea Kodi ya Wananchi itakuwa salama?", huo ndio urefu wa kamba yake, lakini ujue zipo nyingine za elastiki yaani zinavutika, huyu alitumia ya elastiki.Kama aina hii ya watu ndio Watumishi wa Umma tena wenye dhamana kubwa,unategemea Kodi ya Wananchi itakuwa salama?
---
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo.
Mutegeki amekamatwa na nyara hizo za Serikali wilaya ya Kibondo Julai 2,2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya tembo kutoka wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Hata hivyo kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za mauaji ya tembo katika misitu na hifadhi zilizopo katika wilaya ya Kibondo na Kakonko.
Taarifa kutoka wilayani humo inaonyesha kuwa kuna jitihada za kuficha suala hilo kwa kutengenezwa mazingira ya rushwa ili kulimaliza jambo hilo ambalo ni uhujumu uchumi.
My Take
Sitaki kuamini kama wenye pesa Huwa wanafungwa,Wacha tuone.
Wazaramo wanasema usilonge ukamala, i.e. usiongee ukamaliza kila kitu. Unaweza kuta huyu meneja kazuia deal za watu pale TRA Kibondo, wakaamua wale naye sahani moja kwa kumpakazia meno ya tembo. Hii wilaya ipo mpakani mwa Burundi na Tanzania (just 30 kilometres kutoka Kibondo mjini mpaka Mukarazi mpakani mwa Burundi na Tz) Hakuna linaloshindikana hapa duniani, hasa kama unaingilia deals za watu."Kama aina hii ya watu ndio Watumishi wa Umma tena wenye dhamana kubwa,unategemea Kodi ya Wananchi itakuwa salama?", huo ndio urefu wa kamba yake, lakini ujue zipo nyingine za elastiki yaani zinavutika, huyu alitumia ya elastiki.