Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa mwanasiasa angeponaJamaa wakiamua kumlinda watamlinda wakitaka, ila wakiamua kumtoa sadaka pia wanaweza.
Kama kina Bashe waliotupiga zaidi ya huyo bado wako salama mpaka leo, huyo mjasiriamali nae anaweza kupona akiwa na connection.
Lakini kama hana connection, ndio "sheria itachukua mkondo wake".
Amekamatwa na nyama ya wizi mdomoniSitaki kuamini kama wenye pesa Huwa wanafungwa,Wacha tuone.
Huyu jamaa ni mpumbavu, alitakiwa kula kwenye eneo lake tu la makusanyo ya kodiTatizo lake ni moja tu!!Amezidisha kipimo cha kamba yake,Angekula kwa urefu wa Kamba yake yasingemkuta haya.
Nacheka maana nnavyoijua hii biashara kufanya hutakiwi kukurupuka jamaa anavyoonekana aliingia kwa kukurupuka,utafikiri anapeleka ndizi sokoni 😄mrangi mbona unacheka? Wazee wajanja walishaacha hiyo biashara ndio maana tembo siku hizi Ni wengi mpaka wanavamiwa vijiji.
Si unajuwa zile wanakuambia mzee gari lako halipigwi mkonoUKimuangalia kapoa sana kama kasalitiwa .
Huyu ni manager... ana marupurupu kibao.. tena hizi wilaya zilizopo mipakani tra wanakuwaga poa sanaTRA maokoto ya kawaida sana,, ishu ni chocho la kula pesa haramu kama wale wazee wa bandari tu ,labda wale wa vyeo vya juu maokoto yana maajabu kidogo, ila huku kwa wakina ofisa ni kawaida sema njia za kula nje ya mshahara ndo nyingi
Huyu atatoka,hiyo kesi atatumia pesa sana hata kuuza mali zake kama anazo,sema ajira ndiyo bye byeSitaki kuamini kua wenye pesa hua wanafungwa kwenye utawala wa CHURA. Ngoja nione.
KAZI ni kipimo cha UTU
Jamaa ni mpuuz sanaKwanza kabisa kakosea kutumia huo usafiri na yeye akiwemo humo.
Mbili aina ya uwekaji wa hizo vitu kakosea huwa kuna namna ya kufanya.. yeye kaweka kama viazi mbatata, magimbi au ndizi katoka kununua sokoni.
Cha mwisho ni hana AKILI na ni mjinga , mpumbavu pia. Huwezi ukawa na Cheo hicho TRA alafu ukafanya mambo ya kipuuzi kama hayo. Huyu walitakiwa wampige risasi hata ya mguu kwanza kumpa ulemavu.
Labda alikua na ndoto za kukimbizana na wakina bahalesaHuyu ni manager... ana marupurupu kibao.. tena hizi wilaya zilizopo mipakani tra wanakuwaga poa sana
Katika mikoa ambayo bado ina fursa nyingi kwa mtu mwenye mtaji wake wa kutosha basi ni kigoma na katavi... angejilimia zake tu au angenunua hata fuso yake abebee watu maharage..Nacheka maana nnavyoijua hii biashara kufanya hutakiwi kukurupuka jamaa anavyoonekana aliingia kwa kukurupuka,utafikiri anapeleka ndizi sokoni 😄
Meneja wa tra wa mkoa aibuuu sana,jamaa anaonekana alikuwa mtu wa rushwa na magendo sasa kaamua kuingia kwenye biashara ya wenyewe wanaita ya mihogo(pembe za ndovu)
😄
Ova
Hizo plate numbers pia😅 usikute walikuwa wanatfuta kitu kingine kbs.. ila walivyoyaona hayo manamba mengi ikabidi waingie deep..Jamaa ni mpuuz sana
Mihogo haibebwi hivyo
Na yeye na hadhi yake hakutakiwa kushiriki kabisa
Ova
Inaonekana hizi milioni mia mia kwake ndogo sana.. anawaza kibilionibilioniLabda alikua na ndoto za kukimbizana na wakina bahalesa