Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Huko Kibondo na meno ya tembo wamenikumbusha kisa cha zamani sana cha Sharifu wa Mabamba.

Huyu Sharifu wa Mabamba kama si mjomba wake Dr. Leakey, mchambuzi maarufu wa mpira Tanzania basi atakuwa ni baba'ke mdogo.

Huyo jamaa alikuwa kinara wa kusafirisha pembe za ndovu huko Kibondo miaka ya 70s, akaingia 18 za Nyerere lakini alikuwa ni bingwa, akaipanguwa mitego ya Nyerere na akapotelea Burundi, akwa anaishi kifahamri Bujumbura na akafunguwa shirika moja kubwa la magari Burundi, inaaminika alikuwa akishirikiana biashara zake na Kiongozi wa Burundi wa siku hizo, Micombero.
 
Kama aina hii ya watu ndio Watumishi wa Umma tena wenye dhamana kubwa,unategemea Kodi ya Wananchi itakuwa salama?
---
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo.

Mutegeki amekamatwa na nyara hizo za Serikali wilaya ya Kibondo Julai 2,2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya tembo kutoka wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.

Hata hivyo kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za mauaji ya tembo katika misitu na hifadhi zilizopo katika wilaya ya Kibondo na Kakonko.

Taarifa kutoka wilayani humo inaonyesha kuwa kuna jitihada za kuficha suala hilo kwa kutengenezwa mazingira ya rushwa ili kulimaliza jambo hilo ambalo ni uhujumu uchumi.

My Take
Sitaki kuamini kama wenye pesa Huwa wanafungwa,Wacha tuone.
Wenye pesa Wana club Yao ambayo Ina very powerful people from the business community, government, the judiciary, police hata magereza, revenue anthority. Ukisikia MTU akikuambia 'unajua Mimi Ni nani' jihadhari.
Nchi X Kuna polisi alikamata nyara za serikali Kama Hawa polisi walivyomkamata huyu raia, (raia?) Wakati wanampeleka mtuhumiwa, yule polisi akapokea simu kutoka kwa mabosi wake kwamba, kuanzia muda ule akanidhi mafaili yote aliyokua anashughilikia kwani amehamishiwa kituo kingine na anatakiwa kuripoti immediately.
Sasa huko alikohamia ndio akaanzishiwa mizengwe.
 
Huko Kibondo na meno ya tembo wamenikumbusha kisa cha zamani sana cha Sharifu wa Mabamba.

Huyu Sharifu wa Mabamba kama si mjomba wake Dr. Leakey, mchambuzi maarufu wa mpira Tanzania basi atakuwa ni baba'ke mdogo.

Huyo jamaa alikuwa kinara wa kusafirisha pembe za ndovu huko Kibondo miaka ya 70s, akaingia 18 za Nyerere lakini alikuwa ni bingwa, akaipanguwa mitego ya Nyerere na akapotelea Burundi, akwa anaishi kifahamri Bujumbura na akafunguwa shirika moja kubwa la magari Burundi, inaaminika alikuwa akishirikiana biashara zake na Kiongozi wa Burundi wa siku hizo, Micombero.
Kumbe unamkumbuka, wale waarabu wa yemen wana balaa, ndio alikua mjomba wake, na leaky abdalah, ambao familia yao nyingine ni akina mahsein, sasa aliebakia ni mdogo wao mmoja anaitwa jamal tamim yuko palepale mabamba ndio alikua na leseni ya uwindaji kwenye yale mapori nadhani hadi leo bado anamiliki vile vitalu, hao ni family friend na mzee kinana na Kwa sasa jamal tamim ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa kigoma, lakini najaribu kuangalia dili za waarabu anzia akina shabiby, superdoll, ssf, aboud na hao akina sharif abdalah waliamua kukaa karibu na hifadhi za wanyama pori na ni matajri wa kutupwa, hata akina, waarabu wengi hukaa karibu na mapori ya hifadhi hata Baba yao gharib gsm nae alikua pale tunduru ilipo hifadhi ya selou sijui ni kilimo kinawatoa labda,
 
Kumbe unamkumbuka, wale waarabu wa yemen wana balaa, ndio alikua mjomba wake, na leaky abdalah, ambao familia yao nyingine ni akina mahsein, sasa aliebakia ni mdogo wao mmoja anaitwa jamal tamim yuko palepale mabamba ndio alikua na leseni ya uwindaji kwenye yale mapori nadhani hadi leo bado anamiliki vile vitalu, hao ni family friend na mzee kinana na Kwa sasa jamal tamim ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa kigoma, lakini najaribu kuangalia dili za waarabu anzia akina shabiby, superdoll, ssf, aboud na hao akina sharif abdalah waliamua kukaa karibu na hifadhi za wanyama pori na ni matajri wa kutupwa, hata akina, waarabu wengi hukaa karibu na mapori ya hifadhi hata Baba yao gharib gsm nae alikua pale tunduru ilipo hifadhi ya selou sijui ni kilimo kinawatoa labda,
Asas na Huwel wamekaa karibu na ruaha national park
 
Hadi kukamatwa plus huo muonekano wake (alivyochakazwa) vyote vinaashiria kwamba alikuwa na visa na hao Polisi, akawa anaminya deals zao na Polisi wakawa wanamtafuta wamminye mahala.
Tukija kustuka tutakuta hata hayo meno ya Tembo walimchomekea kwenye gari
Ningeshangaa kama angekosa watetezi
 
Hapo anajuta, na siku zote majuto ni mjukuu. Ndiyo kusema Kigoma, kugumu sana mpaka meneja TRA anaamua, kufanya biashara haramu!!!
Wewe naye akili zako za shida,vipi Comredi kinana kuhudishwa na Biashara ya Meno ya Tembo,kwamba naye maisha yalikuwa Magumu,vipi yule mbunge wa shinyanga,CCM kuhusishwa na ujangiri kwamba naye alikuwa na maisha magumu?
 
Isijekuwa wamemkamatisha, polisi wetu hawa ni watu WA KUWA nao makini Sana. Au isijekuwa kuna watu wamemuundia zengwe ili aondolewe hapo.
 
Huyu meneja itakua kagusa interest za watu wakubwa wasiolipa kodi, wakaona huyu haina haja ya kumteka na kumpeleka Katavi, huyu tunamtafutia zengwe ili apishe ukwepaji Kodi wakati akipambana na kesi.
Halafu Kama dogo aliingia Kigoma na mbwembwe za kihaya za majivuno na madharau ajue amekwisha.
Wahaya wanatabia ya kuwafharau wafanyakazi walio chini Yao. Leo wenye bar wekeni stock ya kutosha Kuna wajaluo watakua wanasherehekea huko.
 
Kumbe unamkumbuka, wale waarabu wa yemen wana balaa, ndio alikua mjomba wake, na leaky abdalah, ambao familia yao nyingine ni akina mahsein, sasa aliebakia ni mdogo wao mmoja anaitwa jamal tamim yuko palepale mabamba ndio alikua na leseni ya uwindaji kwenye yale mapori nadhani hadi leo bado anamiliki vile vitalu, hao ni family friend na mzee kinana na Kwa sasa jamal tamim ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa kigoma, lakini najaribu kuangalia dili za waarabu anzia akina shabiby, superdoll, ssf, aboud na hao akina sharif abdalah waliamua kukaa karibu na hifadhi za wanyama pori na ni matajri wa kutupwa, hata akina, waarabu wengi hukaa karibu na mapori ya hifadhi hata Baba yao gharib gsm nae alikua pale tunduru ilipo hifadhi ya selou sijui ni kilimo kinawatoa labda,
Hilo lisikutie wasiwasi, watu hufanya mengi ya halali na yasiyo ya halali.

Kitu cha kukumbuka ni kuwa mitaji ya uhakika ni mali za asili, na mali za asili ni ngumu sana kuzipata mijini. mijini wanakuja kuwekeza baada ya kupata mitaji. Matajiri kuwepo mbali na miji si lazima wawe wanafanya kazi za magendo.

Baba yao kina GSM si Tunduru tu, hata Tanga kaishi. Kumbuka hawa mawahara miaka ya 70s walikuwa wanakuja kwa wingi Tanzania baada ya nchini kwao Yemen kuwa ni wakomunisti, ile haswa sio ya usoshalisti kama Tanzania.

Hawa Wamahara ni wachapa kazi sana, nakumbuka kila anaekuja alikuwa anaanza kuuza nguo kwa kutembeza na kukopesha wakiitwa "guoguo", naamini na baba yao kina Ghalib ilikuwa ni hivyo hivyo. Kidogo kidogo wakawa wanatawanyika kuanzia mijini mpaka vijijini, huko of course walikuwa wanakutana na fursa zingine, kama hizi za kusfirisha pembe, miti, mbao, makaaa ambavzo zote kwao ni mali na huku wameona kama wanaziokota bure. Wakichuma walikuwa wanawekeza kwenye maduka na majumba mijini.

Uzuri wa hao Warabu hawana ubaguzi, wameowana na wenyeji na walikuwa si wazinzi.

Hao wa Morogoro wao kazi zao kubwa zilikuwa ni sukari guru m[paka wengine sasa ni wazalishaji wakubwa wa sukari kama wa Mtibwa.

Wamefanya biashara na wenyeji na wazawa na uzuri wao hao hawamdhulumu mtu kwenye biashara, lakini wenyeji ndiyo kama unavyotujuwa tukipata pesa tunataka kutanuwa, kulewa sana, ngoma na sherehe nyingi, tunaishia kuwa omba omba kwa wajomba zetu.

Sema hao Waarabu walikuwa na roho ngumu na mashujaa kwenda kuishi mbali na kwao maporini, wamekumbana na majanga mengi sana mpaka wao, watoto au wajukuu zao kupata mafanikio.

Uzuri wao, siyo wajinga kama wenyeji.
 
Hilo lisikutie wasiwasi, watu hufanya mengi ya halali na yasiyo ya halali.

Kitu cha kukumbuka ni kuwa mitaji ya uhakika ni mali za asili, na mali za asili ni ngumu sana kuzipata mijini. mijini wanakuja kuwekeza baada ya kupata mitaji. Matajiri kuwepo mbali na miji si lazima wawe wanafanya kazi za magendo.

Baba yao kina GSM si Tunduru tu, hata Tanga kaishi. Kumbuka hawa mawahara miaka ya 70s walikuwa wanakuja kwa wingi Tanzania baada ya nchini kwao Yemen kuwa ni wakomunisti, ile haswa sio ya usoshalisti kama Tanzania.

Hawa Wamahara ni wachapa kazi sana, nakumbuka kila anaekuja alikuwa anaanza kuuza nguo kwa kutembeza na kukopesha wakiitwa "guoguo", naamini na baba yao kina Ghalib ilikuwa ni hivyo hivyo. Kidogo kidogo wakawa wanatawanyika kuanzia mijini mpaka vijijini, huko of course walikuwa wanakutana na fursa zingine, kama hizi za kusfirisha pembe, miti, mbao, makaaa ambavzo zote kwao ni mali na huku wameona kama wanaziokota bure. Wakichuma walikuwa wanawekeza kwenye maduka na majumba mijini.

Uzuri wa hao Warabu hawana ubaguzi, wameowana na wenyeji na walikuwa si wazinzi.

Hao wa Morogoro wao kazi zao kubwa zilikuwa ni sukari guru m[paka wengine sasa ni wazalishaji wakubwa wa sukari kama wa Mtibwa.

Wamefanya biashara na wenyeji na wazawa na uzuri wao hao hawamdhulumu mtu kwenye biashara, lakini wenyeji ndiyo kama unavyotujuwa tukipata pesa tunataka kutanuwa, kulewa sana, ngoma na sherehe nyingi, tunaishia kuwa omba omba kwa wajomba zetu.

Sema hao Waarabu walikuwa na roho ngumu na mashujaa kwenda kuishi mbali na kwao maporini, wamekumbana na majanga mengi sana mpaka wao, watoto au wajukuu zao kupata mafanikio.

Uzuri wao, siyo wajinga kama wenyeji.
Ukitaka kumroga mtu, nuia
Apende pombe, wanawake na sifa.
Hafiki popote.
 
Ukitaka kumroga mtu, nuia
Apende pombe, wanawake na sifa.
Hafiki popote.
Hilo ni wazi kabisa.


Kwa hayo Watanzania hatungoji kurogwa, yapo ndani ya damu, halafu tunajiuliza mchawi wetu nani.


Wazungu kuleta pombe huku na kuifanya rahisi kuliko kwao hawakufanya kwa kukikisia, walikuwa wanafahamu wanachokifanya.
 
Nchi hii bila magumashi huwezi kuwa tajiri. Hongera kwake mpambanaji, get rich or die trying.
Akipata dhamana hapo akimbilie kwa mganga huko huko Kigoma kesi inayeyuka kama hewa hiyo. Tangu lini Jamhuri ikawa na mawakili imara kushinda kesi.
Utajiri ni kuanzia shilingi ngapi chief? Huyo hana njaa yoyote
 
Back
Top Bottom