Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Siku hizi TRA hakuna maokoto ya kutosha mpaka viongozi mnafanya biashara haramu?

top level manager kabisa, umezingua sana
District manager, labda kama waliuboresha muundo kilikuwa ni cheo cha usimamizi tu kisichokuwa na maana yeyote ile.

Pole kwa afisa tozo wa wilaya. Ila waliimchoma Mungu anawaona 😀
 
Hivi hizi ni tamaa, ujasiri wa kipumbavu, au kitu gani?

Meneja wa TRA kabisa unafanya huo upimbi? Mimi pamoja na kazi yangu ambayo ni almost sawa na ujobless siwezi kufanya huo upumbavu.
 
Aisee.. wachina ndio wafanyabiashara wazuri wa hizi kitu.. 😅
 
Mwamba kachomwaaa
Kajaaa kwenye mfumooooo
 
Huyo Manager ilitakiwa aje afuzu Chuo hapa Johannesburg hizo mambo za watu wakitaka uondoke angeelewa mapema sana maana alikua kikwazo kwenye dili za watu watu wanakupa dili na Mteja wa kutengeneza na pesa unalipwa baadae unaambiwa fata ingine sasa kwa kuwa ishu ya mwanzo ilikua ya kugawana mpunga inabidi afanye peke yake akiamini yupo salama kumbe anaenda kukamatwa hakuna bisahara haramu inafanyika na mtu mmoja hakuna...
 
Ila wanawake mnaombaga tu hela wanaume...laiti mngejua hustle lake!!?

Dah! Died trying
 
Kama hakuwaonea huruma tembo wasiokuwa na hatia, alikuwa akizionea huruma Kodi za Watanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…