Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Jamaa wakiamua kumlinda watamlinda wakitaka, ila wakiamua kumtoa sadaka pia wanaweza.

Kama kina Bashe waliotupiga zaidi ya huyo bado wako salama mpaka leo, huyo mjasiriamali nae anaweza kupona akiwa na connection.

Lakini kama hana connection, ndio "sheria itachukua mkondo wake".
 

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.

Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Nchi hii bila magumashi huwezi kuwa tajiri. Hongera kwake mpambanaji, get rich or die trying.
Akipata dhamana hapo akimbilie kwa mganga huko huko Kigoma kesi inayeyuka kama hewa hiyo. Tangu lini Jamhuri ikawa na mawakili imara kushinda kesi.
 

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.

Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Hadi kukamatwa plus huo muonekano wake (alivyochakazwa) vyote vinaashiria kwamba alikuwa na visa na hao Polisi, akawa anaminya deals zao na Polisi wakawa wanamtafuta wamminye mahala.
Tukija kustuka tutakuta hata hayo meno ya Tembo walimchomekea kwenye gari
 
Aisee! Tuseme kwamba mshahara anaopata pamoja na marupurupu ya Cheo Cha Umeneja wa TRA havitoshelezi mahitaji yake ya msingi ya kiuchumi? Is it??

Ama kweli kwamba Ufisadi ni tabia, Wala siyo kwa sababu ya kipato kidogo kisichokidhi mahitaji.
Hii nchi imekuwa ya hovyo, mtu anayelipwa milioni 3 kwa mwezi gross anakatwa kodi karibia laki 6 na ushee.....wakati wafanya biashara wakubwa wenye mitaji ya milion 50 na zaidi hawalipi kodi ipasavyo. Serikali inawabana sana watumishi private na public kwa kodi kubwa ya PAYE. Na ndio kodi wanayoitegemea sana.
Bora kutafuta suluhu mtaani. Mwamba kapambana.
 
Aisee! Tuseme kwamba mshahara anaopata pamoja na marupurupu ya Cheo Cha Umeneja wa TRA havitoshelezi mahitaji yake ya msingi ya kiuchumi? Is it??

Ama kweli kwamba Ufisadi ni tabia, Wala siyo kwa sababu ya kipato kidogo kisichokidhi mahitaji.
Vijana wa ovyo ndo hawa sasa wanataka mafanikio ya haraka haraka.
 
Back
Top Bottom