denoo JG
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 2,701
- 9,759
Jamaa wakiamua kumlinda watamlinda wakitaka, ila wakiamua kumtoa sadaka pia wanaweza.
Kama kina Bashe waliotupiga zaidi ya huyo bado wako salama mpaka leo, huyo mjasiriamali nae anaweza kupona akiwa na connection.
Lakini kama hana connection, ndio "sheria itachukua mkondo wake".
Kama kina Bashe waliotupiga zaidi ya huyo bado wako salama mpaka leo, huyo mjasiriamali nae anaweza kupona akiwa na connection.
Lakini kama hana connection, ndio "sheria itachukua mkondo wake".