Nchi hii bila magumashi huwezi kuwa tajiri. Hongera kwake mpambanaji, get rich or die trying.
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.
Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Nchi hii ukipata kwa kula kula tu kijana. Unasikia majanga ya sukari, wizi kila siku CAG anatangaza na hatuoni serikali kitu inafanya.Siku hizi TRA hakuna maokoto ya kutosha mpaka viongozi mnafanya biashara haramu?
top level manager kabisa, umezingua sana
Bado mtoto sana wewe.Usione watu wa naendesha magarimakali kumbe ni ma boom wanabeba. Mi siwezi kuchezea wembe bado natamani Mihogo, juice, maboga, ndizi, samaki na pombe.
Hadi kukamatwa plus huo muonekano wake (alivyochakazwa) vyote vinaashiria kwamba alikuwa na visa na hao Polisi, akawa anaminya deals zao na Polisi wakawa wanamtafuta wamminye mahala.
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.
Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.
Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Hii nchi imekuwa ya hovyo, mtu anayelipwa milioni 3 kwa mwezi gross anakatwa kodi karibia laki 6 na ushee.....wakati wafanya biashara wakubwa wenye mitaji ya milion 50 na zaidi hawalipi kodi ipasavyo. Serikali inawabana sana watumishi private na public kwa kodi kubwa ya PAYE. Na ndio kodi wanayoitegemea sana.Aisee! Tuseme kwamba mshahara anaopata pamoja na marupurupu ya Cheo Cha Umeneja wa TRA havitoshelezi mahitaji yake ya msingi ya kiuchumi? Is it??
Ama kweli kwamba Ufisadi ni tabia, Wala siyo kwa sababu ya kipato kidogo kisichokidhi mahitaji.
Tamaa!Siku hizi TRA hakuna maokoto ya kutosha mpaka viongozi mnafanya biashara haramu?
top level manager kabisa, umezingua sana
Vijana wa ovyo ndo hawa sasa wanataka mafanikio ya haraka haraka.Aisee! Tuseme kwamba mshahara anaopata pamoja na marupurupu ya Cheo Cha Umeneja wa TRA havitoshelezi mahitaji yake ya msingi ya kiuchumi? Is it??
Ama kweli kwamba Ufisadi ni tabia, Wala siyo kwa sababu ya kipato kidogo kisichokidhi mahitaji.
MadiniBado mtoto sana wewe.
Get rich or die trying...