Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

Huyu meneja itakua kagusa interest za watu wakubwa wasiolipa kodi, wakaona huyu haina haja ya kumteka na kumpeleka Katavi, huyu tunamtafutia zengwe ili apishe ukwepaji Kodi wakati akipambana na kesi.
Halafu Kama dogo aliingia Kigoma na mbwembwe za kihaya za majivuno na madharau ajue amekwisha.
Wahaya wanatabia ya kuwafharau wafanyakazi walio chini Yao. Leo wenye bar wekeni stock ya kutosha Kuna wajaluo watakua wanasherehekea huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nacheka maana nnavyoijua hii biashara kufanya hutakiwi kukurupuka jamaa anavyoonekana aliingia kwa kukurupuka,utafikiri anapeleka ndizi sokoni [emoji1]
Meneja wa tra wa mkoa aibuuu sana,jamaa anaonekana alikuwa mtu wa rushwa na magendo sasa kaamua kuingia kwenye biashara ya wenyewe wanaita ya mihogo(pembe za ndovu)
[emoji1]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mfumo aliokua anatumia jamaa ni WA kizamani sana, how comes unakaa front Kwa biashara hiyo? Wenzake hata simu za dili hizo anaenda kusajili burundi Kwa majina ya warundi na simu ananunua kulekule burundi Kwa jina la mtu wa kule, mawasiliano yote anayafanya Kwa kiswaswadu huko buja, na hakuna kutoa cod kizembe mnaongelea mihogo kumbe ni pembe, , well unakua na boda wako mmoja makini wewe uko mbele na gari unasafisha njia na kujua doria yupo nani na wako sehemu gani boda anafuata nyuma, na boda anakua na escort nyuma yake hadi mnafika, ikiwa noma mzigo unapigwa chini mnatembea, tatizo wanapanga dili za magendo wakiwa bar
 
Mfumo aliokua anatumia jamaa ni WA kizamani sana, how comes unakaa front Kwa biashara hiyo? Wenzake hata simu za dili hizo anaenda kusajili burundi Kwa majina ya warundi na simu ananunua kulekule burundi Kwa jina la mtu wa kule, mawasiliano yote anayafanya Kwa kiswaswadu huko buja, na hakuna kutoa cod kizembe mnaongelea mihogo kumbe ni pembe, , well unakua na boda wako mmoja makini wewe uko mbele na gari unasafisha njia na kujua doria yupo nani na wako sehemu gani boda anafuata nyuma, na boda anakua na escort nyuma yake hadi mnafika, ikiwa noma mzigo unapigwa chini mnatembea, tatizo wanapanga dili za magendo wakiwa bar
Umeongea kiweredi
 

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.

Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
God damn it, mshikaji alikuwa kashatoboa arifu, lakini mbona majambazi ya pale bungeni tunashindwa kuyashughulikia kama kinyaaaa??
 
Kuna watu watamtetea kuwa hausiki wamemsingizia tu, tusubiri mahakama iamue. Na hizo number plates zote za nini?
Wahuni wanakuwekea tu na hizo plate ili kusolidify madai yao, kwani wkt anakamatwa ulikuwepo? Waasimamisha gari wanatoa meno kwenye gari lao wanaweka kwako, wanatoa hizo plate wanaweka kwako mchezo kwisha
 
Huyu si jambazi kabisa
Utakuta na SMG anajua kutumia
Kama anapeleka na Burundi basi tena
 

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo.

Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2, 2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya Tembo kutoka Wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.
Viongozi vijana !!!!!!
Kama aina hii ya watu ndio Watumishi wa Umma tena wenye dhamana kubwa,unategemea Kodi ya Wananchi itakuwa salama?
---
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo.

Mutegeki amekamatwa na nyara hizo za Serikali wilaya ya Kibondo Julai 2,2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano zaidi.

Meneja huyo wa TRA anadaiwa amekuwa akifanya biashara ya meno ya tembo kutoka wilaya ya Kibondo na Kakonko kwenda mikoa mbalimbali nchini na nje ya nchi ikiwemo Burundi.

Hata hivyo kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za mauaji ya tembo katika misitu na hifadhi zilizopo katika wilaya ya Kibondo na Kakonko.

Taarifa kutoka wilayani humo inaonyesha kuwa kuna jitihada za kuficha suala hilo kwa kutengenezwa mazingira ya rushwa ili kulimaliza jambo hilo ambalo ni uhujumu uchumi.

My Take
Sitaki kuamini kama wenye pesa Huwa wanafungwa,Wacha tuone.
Baada ya kufanya tafiti nyingi za kina kabisa kuhusiana na masuala ya mikasa kama hii, imebainika dhahiri kwamba kuna Mambo mengi sana ambayo huwa yapo yamejificha nyuma ya Kesi za namna hii. Kuna masuala ya Visasi kwenye masuala haya.

Mathalani, mwanzoni mwa miaka ya nyuma kati ya 2000 na 2009, Mwalimu mmoja wa Shule moja ya Sekondari (nisingependa kuitaja jina) alikuwa ana mahusiano na Mke wa DSO katika Wilaya hiyo aliyokuwepo huyo Mwalimu. Wakati huyo DSO alipopata taarifa hizi allisuka mipango kwa kushirikiana na baadhi ya Askari Polisi wasio waadilifu, walimbambika Kesi ya Uvakaji wa Mwanafunzi wake mmojawapo katika Shule aliyokuwa akifundisha. Yule Mwalimu alihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, alikuja kutolewa baadaye Sana baada ya kushinda Kesi ya Rufaa Mahakama Kuu. Nakumbuka Hukumu ya Mhe. Jaji Mihayo ndiyo iliyomnusuru yule Mwalimu kutoka gerezani na kuachiwa huru.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Back
Top Bottom