Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gordon Nsajigwa atumbuliwa, Sasa kupangiwa Majukumu mengine

Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gordon Nsajigwa atumbuliwa, Sasa kupangiwa Majukumu mengine

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Jeneza la simba day lamfungisha virango meneja wa uwanja wa benjamin mkapa godon msajigwa.

FZvUQvCWIAE4R7L.jpg

=====

Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imemwondoa Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gordon Nsajigwa kwa kushindwa kusimamia matumizi endelevu ya uwanja huo. Wizara imesema Nsajigwa atapangiwa majukumu mengine na nafasi hiyo itajazwa mara moja.

IMG-20220809-WA0084.jpg
 
Ume uwanja ni kitega uchumi cha wizara. Kuna kumbi za mikutano, kumbi za sherehe nk mbali na kuandaa mechi na mengineyo kama kushoot video matangazo. inawezekana huyo meneja hajameet target sawasawa alizopewa ukizingatia wizara ya habari ndo wizara yenye bajeti ndogo sana. acha kukurupuka

Sent from my Redmi 6 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kuhusu ushabiki mashabiki waepuke kutumia mambo ya dini zote ikiwemo ushirikina kuigiza. Utani wa mpira ufuate maudhui yake, nje na hapo ni kero kwa wenye imani hiyo
 
Waziri wa Sana, michezo aagiza Meneja wa uwanja wa Benjamin mkapa kupangiwa majukumu mengine, kwa kushinda kusimamia matumizi endelevu ya uwanja huo.
IMG_20220809_213110.jpg
 
Back
Top Bottom