Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu ambacho ccm imetia mkono wake kikawa na barakaUwanja majan yamechoka. Vyoo hovyo.. uwanja mzur kama ule ni aibu. Ndomana kapigwa chin
Umeniwahi.Jeneza limeondoka na mtu
Kwann usiseme juzi kati ya yanga na wageniJeneza la SIMBA
Mmmmh mbna shughuri za kitaifa huwa inafanyika???Ishu sio Jeneza ni KURUHUSU HALAIKI.
Uwanja ule hautumiki kwa hayo matukio. Wameharibu nyasi na gharama za matengenezo ni kubwa.
Soma Waraka huu kama hujauona.Wakristo mbona hatuna shida na hilo swala,ingekuwa ni jeneza ka ile dini nyingine,ungesikia sijui kuna shura sijui fwata sijui takbiir
Bila kusahau pakakama kisa cha kufukuzwa ni hicho sawa... lakini mamlaka imkanye pia yule shabiki wetu wa YANGA anayeingia na njiwa uwanjani... ule ni unyanyasaji na utesaji wa wanyama, haufai hata kidogo
Yes hii inaweza kua kweliIshu sio Jeneza ni KURUHUSU HALAIKI.
Uwanja ule hautumiki kwa hayo matukio. Wameharibu nyasi na gharama za matengenezo ni kubwa.
Mgwaride hua yanafanyikia UhuruMmmmh mbna shughuri za kitaifa huwa inafanyika???
Itakuwa ni ugeni wa CAF na FIFA officials na tunaomba mashindano ya Afcon yafanyike TZ lazima wakague , lakini kiwanja kina hali mbaya vyoo vichafu sana pitch ubora umechakaa.Walikuwa wapi siku zote sasa kama vitu vidogo hivi vinatushinda je mega projects tutaweza solution ni kuingiza private sector ktk managementUwanja majan yamechoka. Vyoo hovyo.. uwanja mzur kama ule ni aibu. Ndomana kapigwa chin