yellow java
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 1,228
- 2,234
Vita ipi wewe kunguni!!Ila utopolo hi Vita mliyoianzisha hamtaiweza.mamlaka ni UKUTA.ukipiga ngumi utaumia mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita ipi wewe kunguni!!Ila utopolo hi Vita mliyoianzisha hamtaiweza.mamlaka ni UKUTA.ukipiga ngumi utaumia mwenyewe
Wala sio sababu ya mashiko.Uhuru kuna nyasi bandia Lupaso asilia
Kile kitendo hakikuwa cha kistaarabu.Jeneza la simba day lamfungisha virango meneja wa uwanja wa benjamin mkapa godon msajigwa.
View attachment 2319580
=====
Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imemwondoa Meneja wa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Gordon Nsajigwa kwa kushindwa kusimamia matumizi endelevu ya uwanja huo. Wizara imesema Nsajigwa atapangiwa majukumu mengine na nafasi hiyo itajazwa mara moja.
View attachment 2319453
Si hua anawaachiaKama kisa cha kufukuzwa ni hicho sawa... lakini mamlaka imkanye pia yule shabiki wetu wa YANGA anayeingia na njiwa uwanjani... ule ni unyanyasaji na utesaji wa wanyama, haufai hata kidogo
mechi ya tarehe 6 hakumuachia... alikuwa akimrusha rusha tuSi hua anawaachia
Mkuu saa itakuwaje nilimsikia ye mwenyewe anajiita mzee wa njiwamechi ya tarehe 6 hakumuachia... alikuwa akimrusha rusha tu