Meneja wa WCB, Sallam SK atangaza kuachia ukweli wote muda mfupi ujao

AISEE NAUONA MWISHO WA CLOUDS MEDIA.TATIZO SASA ANAPAMBANA NA WATU WENYE PESA NA MIZIZI PIA.SIO KIPINDI CHA HARAKATI ZA KINA VINEGA NA ANTIVIRUS
Yaani salaaa ndio mwenye pesa,au WCB pumbavu Mimi navyojua WCB inatumiwa na Bashite tu hamna zaidi ya hapo.
 
Pole kwa kuwa na tatizo na kifikira juu ya shingo yako. Bila shaka shingo yako imebeba mzigo ambao hauna faida kwa jamii.

Ugomvi ni maslahi ambayo huyo Ruge anapambana kuwakwamisha wenzake wasifanikiwe. Anachotakiwa aache uwanja huru ili wote watafute soko kutokana na ubora wao. Hakuna haja ya kuhujumiana.

Pole kijana, hasara ya Taifa.
 
Msimu-under rate sugu,kipindi kile sugu hakushindwa ruge ndo alishindwa kwa kumfuata waziri wa habari kipindi kile na spika wa bunge mama makinda ili awasiluishe yaishe baada ya sugu kuibua kashfaa nyingi za ruge bungeni ikiwemo kuleta wasanii wakubwa wa nje ambao wao wanawafundisha jinsi ya kukwepa kodi ili wawapate kwa urahisi

Mwenye hoja na hili aje
 
Ni vile tu kuwa tunasahau mapema sana.. kwani si juzi kati tu hapa tumesikia kuwa WCB wapo mbioni kuanzisha wasafiTV na wasafiFM... Sasa wale wajuvi na wabobezi wa mambo ya biashara nadhani mnaelewa ushindani wa kimasoko... Ili kuuza bizaa yako vizuri na kwa faida kubwa lazima ujiangalie ww mwenyewe ni nini waweza fanya, kisha uangalie hali ya soko, then urudi uone kama bidhaa yako inafaa kuingia sokoni... Kwa vyovyote vile inafaa kabisa kuingia sokoni, suala lipo kwa washindani wako (wale wenye bidhaa kama yako) hapo sokoni,
Unafanya nini kuhakikisha unaizidi ile bidhaa uliyoikuta sokoni na imeshakomaa... Lazima uangalie nguvu pamoja na udhaifu wa mshindani wako.. ili ujue wapi pa kuweka sawa...
SASA KABLA HUJAMALIZA HILO MWENYEJI AMEKUWAHI ANAPAMBANA NAWE
 
Vinega AntVirus walisema haya wakapuuzwa!!
 
Sio rahisi wasafi tv kufanikiwa kwa haraka pamoja na kwamba diamond anajina kubwa hauwezi ukaanza biashara na kuanza kushindana na watu waliopo zaidi ya miaka 10 kwenye soko hili swala linahitaji umakini mkubwa vinginevyo mtu unapata hasara
 
Soon clouds media inapotea..
Itaanza kupigwa figisu kuanzia serikalini hadi mtaani
 
Sio rahisi wasafi tv kufanikiwa kwa haraka pamoja na kwamba diamond anajina kubwa hauwezi ukaanza biashara na kuanza kushindana na watu waliopo zaidi ya miaka 10 kwenye soko hili swala linahitaji umakini mkubwa vinginevyo mtu unapata hasara
Acha inferiority complex, E FM kabla haina mwaka alishamkimbiza huyo mawingu mpaka akawa anaiba watangazaji pamoja na theme za vipindi. Kila kitu kinawezekana acha uoga, muhimu ni unaingia na strategy gani???
 
kunywa belaire nakuja kulipa.....
 
wcb kwani hao clouds mbona wanamuandalia vipindi? mf leo tena....ya chibu halaf kama ni nyimbo mbona wcb hazipigwi kivile....labda chibu angekua anawaheshimu kama angekua fiesta....bad luck kwa clouds chibu anakula hela za voda....so mm binafsi naona clouds haijamzidi diamond na crew yake labda wakina ruby ndo waililie clouds ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…