Menelik II: Mtawala wa kiafrika aliyekomesha ukoloni wa wazungu

Menelik II a.k.a Dagmawi

hawa mashujaa wa kiafrica ndio walitakiwa wawe topic kwenye historia zetu, kama waliweza kukuza nchi bila ya wazungu ni dhahiri kabisa hata sasa uwezekano upo japo tumechelewa.

chief samahani niulize swali....huyu jamaa alikua na mtangulizi wake ambaye aliitwa "Menelik I" au hayo ni majina tu?!
 
Italy mbona walikuwa na jeshi dhaifu tu hao hata Kinjeketile Ngwale angewapiga.

Ethiopia ashukuru Mungu aiseee angekutana na wajukuu wa Adolf Hitler mbona huyo Menelik kichwa chake kingekuwa makumbusho ya Munich sahivi.

Mjerumani mkatili sana
unaweza kuwa katili lkn hauna mbinu/akili za kivita hivyo unaweza ukapigwa kirahisi na ukatili wako.
 
Watalaam wanasema Imani ya Rasta imeanzia pale Babeli chini ya mfalme Nimrod (Wanasema alikua black).
 
mfano wa nilichokuuliza ni hiki chief...
haya majina ya I, II, III na kuendelea mara nyingi ni huanzia kwa babu baba alafu mjukuu...

na kila mmoja anakua na utata/uwezo wake uliomfanya aache historia.
 
Yes kulikuwepo na Emperor Menelik I ila alitawala kati ya miaka 950 BC zamani sana na hyu mwingine alijiita Menelik II sababu naye pia anadai alikuwa ni mzao wa upande wa kiume kama ilivyokuwa menelik I kutoka queen of sheba na solomon.
 
Mkuu Menelik I ndio alimtangulia menelik II japo wamepishana miaka mingi mingi sana, historia inasema alikua ni mtoto wa Queen Shebba na King solomon. Alitawala 950 BC anakumbukwa zaidi kwa kuipeleka Sanduku la Agano Ethiopia.
 
Yes kulikuwepo na Emperor Menelik I ila alitawala kati ya miaka 950 BC zamani sana na hyu mwingine alijiita Menelik II sababu naye pia anadai alikuwa ni mzao wa upande wa kiume kama ilivyokuwa menelik I kutoka queen of sheba na solomon.
asante chief!

hivi kumbe queen of sheba alizaa na solomon?
 
Mfalme menelik II a.k.a Dagmawi sahle maryam menelik alikuwa mtawala wa Ethiopia kati ya 1889 hadi 1913 ambapo alianza kama mtawala wa eneo la shewa kuanzia 1866-1889. Alizaliwa mwaka 1884 na kufariki mwaka 1913 na inaelezwa alitoka kizazi cha uzao wa Queen of sheba (Makeda) na Mfalme suleiman.


hapo kwenye mwaka wa kuzaliwa mkuu weka kumbukumbu vizuri alizaliwa1884 hapo hapo ambapo alianza kama mtawala wa eneo la shewa kuanzia 1866-1889
 
Hahaa eti kipigo cha mbwa koko daah

Hizo hati fungani zake mpaka sasa vipi?
Nchi karibu zote zinafanya hii mambo sema kwa kipindi hicho mambo ya finance hayakuwa yamejulikana sana hapa duniani ila wajanja wachache kama kina menelik II ndio walikuwa wanafanya hizo mambo enzi hizo maeneo mengine bado yalikuwa yanafanya barter trade yaani mnabadilishana kiroba kimoja cha mahindi kwa ajili ya kupewa maharage!!! Hivyo kwa enzi hizo kufanya haya mambo ya hati fungani ilikuwa dili sana na kuonyesha jinsi alivyokuwa exposed na masuala ya kiuchumi
 
Last edited:
Mkuu Menelik I ndio alimtangulia menelik II japo wamepishana miaka mingi mingi sana, historia inasema alikua ni mtoto wa Queen Shebba na King solomon. Alitawala 950 BC anakumbukwa zaidi kwa kuipeleka Sanduku la Agano Ethiopia.
asante chief!

kwahiyo inawezekana Menelik II akawa ni mjukuu au mtoto wa Menelik I.
 
asante chief!

hivi kumbe queen of sheba alizaa na solomon?
Yes walizaa naye hata kuna mazalia yapo Ethiopia na baada ya vipimo vya DNA kufanyika ikakubalika kuwa nao ni moja ya makabila yaliyopotea ya kutoka Israel.... Inaaminiwa walikuja huku Afrika baada ya interaction ya kimapenzi ya solomon na makeda/sheba
 
Ahsante mkuu kwa kunisahihisha hapo ni 1844 sio 1884 ngoja niedit
 
asante chief!

kwahiyo inawezekana Menelik II akawa ni mjukuu au mtoto wa Menelik I.
Ni bloodline tu ya Menelik I lakini jina la Menelik II ilikua AKA tu aliyoitwa jina lake ni Sahle huku baba yake akiwa mfalme Haile Malakot. Menelik I na II wamepishana miaka kalibia 2000
 
Wapigane tena sa hivi ... Tuone nan mshind
Hahahaha walipigana tena vita kuu ya pili ya dunia..... Italia alishinda ile ya 1935 ila 1942 kina haille selassie wakishirikiana na waingereza walimtandika muitalia na kumfukuza Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…