Menelik II: Mtawala wa kiafrika aliyekomesha ukoloni wa wazungu

Menelik II: Mtawala wa kiafrika aliyekomesha ukoloni wa wazungu

Kama ilikuwepo basi kwa jina jingine ila unaposema RAS TAFARI ni jina la kuzaliwa la Mtawala Haille Selassie ni sawa na CCM na TANU kwamba huenda kulikuwa na imani ya kama hyo lakini haikuitwa Ras Tafari sababu Ras Tafari imeanza kuitwa hilo jina miaka ya 1940 baada ya Haille Selassie kupambana na waitalia chini ya Benito Mussolini kwenye vita kuu ya pili ya dunia

Ngoja nimuite nyabhingi atupe nondo zaidi
uko sawa mkuu ila ilianzia kwenye maghetto ya jamaica
kwenye miaka ya 30'snchi ya ahadi ni Ethiopia(au popote ilimradi iwe ndani ya Afrika)
madhehebu yapo takribani manne na mojawapo ni hiyo ID yangu
hii inahitaji thread kamili in its own right
 
Menelik II (17 Agosti 184412 Desemba 1913) alikuwa mfalme mkuu wa Uhabeshi kutoka 1889 hadi 1913. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Sahle Miriam.

Alikuwa mtemi (Ras) wa jimbo la Shoa kati ya 1865-1889. Akashinda katika mvurugo baada ya kifo cha Yohane IV kwa msaada wa Italia akakubaliwa mfalme mkuu wa Ethiopia mwaka 1889.

Alikataa madai ya Italia kutokana na mkataba wa Wuchale. Mwaka 1896 alishinda jeshi la Italia katika mapigano ya Adowa. Ushindi huu ulihakikisha uhuru wa Ethiopia kama nchi ya pekee katika Afrika nje ya Liberia.

Menelik aliweka misingi ya maendeleo ya Ethiopia kuwa nchi ya kisasa lakini hakubadilisha muundo wa utawala wa kimakabaila
 
Asante Sana,, alioa ndoa tatu lakini hakupata watoto akapata nje ya ndoa ina maana toka enzi hizo usaliti ulikuwepo
Hapana mke wa kwanza alimpata akiwa mtawala wa shewa ila kuna vurumai ilitokea akawekwa kizuizini so alipotoroka akajikuta anakimbia hilo eneo akamuacha mkewe kabla hajazaa naye

Ndoa ya pili alimpenda sana mwanamke mmoja ila huyo mwanamke hakuwa anamtaka menelik II so mwisho wa siku alimbania unyumba na mwishowe akamkimbia

Ndoa ya tatu alioa Mwanamama wa shoka taytu bital ambaye naye aliishi naye kwa amani lakini Menelik II bado moyo wake ulikuwa kwa mke wake wa pili.... Ingawa walidumu lakini hawakufanikiwa kupata watoto

Tatizo naloliona sio kwamba Menelik II alikuwa msaliti bali ndoa za wafalme walikuwa wanapewa wanaozeshwa mabinti za watawala wengine yaani ndoa za kulazimishwa sasa unakuta mwisho wa siku binti au mwanaume hajaridhia inapelekea migogoro kama hii

Fundisho hapa ni kwamba ni vzuri tuheshimu matakwa ya watu inapokuja suala la ndoa ila kuanza kuwapangia binti wa kuoa ndio inapelekea majanga kama haya ya Menelik II mwisho wa siku inabidi atafute mchepuko wa kumpa furaha

Ni hayo tu
 
uko sawa mkuu ila ilianzia kwenye maghetto ya jamaica
kwenye miaka ya 30'snchi ya ahadi ni Ethiopia(au popote ilimradi iwe ndani ya Afrika)
madhehebu yapo takribani manne na mojawapo ni hiyo ID yangu
hii inahitaji thread kamili in its own right
Nyabhingi order nimeisoma mahala ila Mkuu siku ukiweza tupandishie nyuzi kuhusu hii Rastafarian movement tokea mizizi yake hadi misingi yao itakuwa ni kwa faida ya wanaJF wote walio curious kuhusu watu hawa.
 
uko sawa mkuu ila ilianzia kwenye maghetto ya jamaica
kwenye miaka ya 30'snchi ya ahadi ni Ethiopia(au popote ilimradi iwe ndani ya Afrika)
madhehebu yapo takribani manne na mojawapo ni hiyo ID yangu
hii inahitaji thread kamili in its own right
...ukipata muda tuwekee hiyo thread yake mkuu,..usiache kunitag please
 
Hapana mke wa kwanza alimpata akiwa mtawala wa shewa ila kuna vurumai ilitokea akawekwa kizuizini so alipotoroka akajikuta anakimbia hilo eneo akamuacha mkewe kabla hajazaa naye

Ndoa ya pili alimpenda sana mwanamke mmoja ila huyo mwanamke hakuwa anamtaka menelik II so mwisho wa siku alimbania unyumba na mwishowe akamkimbia

Ndoa ya tatu alioa Mwanamama wa shoka taytu bital ambaye naye aliishi naye kwa amani lakini Menelik II bado moyo wake ulikuwa kwa mke wake wa pili.... Ingawa walidumu lakini hawakufanikiwa kupata watoto

Tatizo naloliona sio kwamba Menelik II alikuwa msaliti bali ndoa za wafalme walikuwa wanapewa wanaozeshwa mabinti za watawala wengine yaani ndoa za kulazimishwa sasa unakuta mwisho wa siku binti au mwanaume hajaridhia inapelekea migogoro kama hii

Fundisho hapa ni kwamba ni vzuri tuheshimu matakwa ya watu inapokuja suala la ndoa ila kuanza kuwapangia binti wa kuoa ndio inapelekea majanga kama haya ya Menelik II mwisho wa siku inabidi atafute mchepuko wa kumpa furaha

Ni hayo tu
Asante kwa maelezo matamu.
 
Ni kweli vizazi vilichangia maana unarithishwa maarifa ya utawala kutokea enzi za makeda na suleiman ni lazima tu alikuwa amepikwa vya kutosha kutawala ufalme mkubwa kama ule sio sisi huku hatuaandai viongozi mtu anakurupuka tu huko aliko anataka ubunge na Urais.
Huku kwetu unachofanya ni Ku beep tu ikijipokea poa mwendo wa kukurupuka tu
 
Haile Selaise mwenyewe hakuwa wa iman ya Rastafarian. Alikuwa ni mkristo. Na alikuwa akisisitiza kuwa yeye ni binadamu wa kawaida kabisa wakati Rastafarians wakiamini ni ujio wa pili wa Messiah. Dini hii ilianza miaka ya 1930s. Haikuewepo before. Nayo ndani yake ina madhehebu kadhaa...

Naam mkuu nimeon alipelekwa kanisani japo alizikwa bila kutangazwa kifo chake.
Mkuu mbona imani ya Rastafarian inasemekana imeanza kitambo kabla ya H.Selasi
 
Haile Selaise mwenyewe hakuwa wa iman ya Rastafarian. Alikuwa ni mkristo. Na alikuwa akisisitiza kuwa yeye ni binadamu wa kawaida kabisa wakati Rastafarians wakiamini ni ujio wa pili wa Messiah
Kweli kabisa alikua mu-Orthodox, labda walilinganisha mchango wake kwenye taifa lake na jinsi Yesu alivyojitoa kwa watu wake
Dini hii ilianza miaka ya 1930s. Haikuewepo before. Nayo ndani yake ina madhehebu kadhaa...
Early writtings zinasema imeanza pale Babeli kwa mfalme Nimrod.Ambopo pia ndiko ulikoanzia utatu wa Horus,Isis na Osrus/Osris. Au mm ndio niko Wrong?
 
Back
Top Bottom