Mengi: Kwanini nimemuoa K-lynn

Mengi: Kwanini nimemuoa K-lynn

Dr Mengi, you don't have to explain to anybody why you married that woman. I believe you did that based on the same reasons as everybody else, so why do you have to explain? If they don't like it they can just eat a **!

Haya ndio mawazo ya grt thinker
 
Ha ha ha! Nicheke mie baada ya zile threads kufutwa naona watuhumiwa wameanza kurudi.
😀😀😀😀

Yaani wameniudhi basi tu, hata hakunogi tena humu, cjui nihamie wapi
 
Kwahiyo furaha yake ni kuona klyn anafua minguo kwa mikono wakati mashine zipo? Anyway, mambo mengine tuwaachie baba na mama
 
Ningekuwa mimi ni Mengi nisingekubali kujibu hilo swali, ingekuwa la maana zaidi
 
K lyn love money
Money love Mengi
kwa mahesabu na mlinganyo sahihi lazima K lyn atampenda mengi tu

Kama sio mwanahisabati huwezi kulijua hili

Tusaidie ww mwana hisabati sasa
 
MO11

Pole kukuomba ufanya ulichosema kuwa unakijua inatakiwa kufuatilia uzi kweli wengine wanajitegeshea dah???????
 
Last edited by a moderator:
Yaani wameniudhi basi tu, hata hakunogi tena humu, cjui nihamie wapi

Detective mwenzangu kaniaibisha sana.Natamani hata ni sign of basi tu nashindwa.
Saa hizi episode 2 zingekua zimeshaisha...daaah!
 
Binafsi simshangai klyn coz anajua nini anachofanya hapo ni anakula na kipofu bana!!kula maisha mwanawane klyn!!!
 
Detective mwenzangu kaniaibisha sana.Natamani hata ni sign of basi tu nashindwa.
Saa hizi episode 2 zingekua zimeshaisha...daaah!

Chezea kugusia maslahi yake binafsi!!! Alishikwa penyewe akaona isiwe taabu, bora niende sports japo hata sielewi hizo sports zenyewe
 
Pole kukuomba ufanya ulichosema kuwa unakijua inatakiwa kufuatilia uzi kweli wengine wanajitegeshea dah???????

mbona una wasiwasi wewe hebu andika ueleweke
 
Mzeee mzeeeeeeeeeeeeeee hayaaaaaa buaanaaaaz nani anapenda kulala na babu hapo ni pesaa tu
 
LIKUD ukweli utabaki pale pale wanaume asilimia kubwa duniani wanapenda sana kudekezwa, kuona wanafanyiwa mambo yao na wake zao.

kuna wanaume ambao kufua, kupika wakifanyiwa haya na wake zao hufurah zaid kuliko makifanya house helper..................mwanzoni nilidhan ni waafrika tu ndio wanaopedna haya ila nikaja kukuta hata wazungu baadhi yao hasa watu wa uingereza wanapenda sana kufanyiw ahizi kazi na wake zao.

ni credit nzuri kwa mama kujua kuihudumia familia yako hasa kwenye yale mambo ya msingi ambayo wengi huona ni kazi za kudeligate. natoa mfano kuna siku majuzi tu nilikuwa nafua bafuni nikashangaa hubby kaja kukaa karibu yangu yangu tunapiga story nikajikuta ninasaidiwa tu kusogezewa nguo na kutoa za kwenda kuanika nlipo hamia kazi nyingine nikajikuta bado naendelea kusaidiwa na kupigiwa stori za hapa na pale basi jumamos yangu ikawa ya raha sana.

nilichogundua ni hiki kukaa tu sebuleni kutizama tv na kutengeneza nywele hakumfanyi mwanaume avutiwe na wewe zaid ila kila kitu kina ladha yake kwenye mapenzi hata ufanyaji wa hizi house works huongeza chachu manake muda anakuona unafanya hayo hujiuliza anawezaje kukutia moyo zaid?? basi inabidi kitandani akufurahishe zaid manake anajua antakiwa akumotivate lol!!!!!!

wanawake tusidharau haya mambo hata kidogo, yana contribution yake ila sasa kama pia huoni umuhimu wake you can just ignore them.

muda mwingine kazi kama kufua kuosha viatu vya mumeo hukufanya uwe na uhakika na aina ya nguo atakayo ivaa na hali yake. Am telling you nguo usiyoikagua huwez kujua wapi inahitaj marekebisho kama ya kurudishiwa kifungo, zipu iloharibuka, kiatu chenye hitilafu nk. mahala pekee pa kuyajua hayo ni wakati unapozikagua ili usafishe/ufue. ukishindwa hapo utafuliwa utapasiwa utsmpangia aje avae na siku ya kuvaa ndipo unakuta nguo haina kifungo mara sijui imetatuka nk

hii pia haina tofauti na upish kwa kweli huwa siwaelewi wale ambao wansema kazi zinawatinga adi wnaenda kununua mssosi mtani ya kuja kula na familia...........as a mother learn to plan your time table ili uweze kupikia familia japo mara moja basi kwa siku yaani ikishindikana kabisa ata week end tuu...............apo ndipo utakapoweza kuona wanao wanfurahiaje chakula cha mama, mumeo anapenda chakula kilichopikwaje nk afya ya familia huongezeka ikiwa mama atakuwa ni mpish wa familia yake

sorry nime act kizaman lkn kwangu mie hii inaapply zaid

Wewe inaonekana ni mke mwema. Na kama unampenda Mungu basi nitapenda miaka kadhaa ijayo mke wangu awe na tabia kama zako.
Big up
 
Last edited by a moderator:
K lyn love money
Money love Mengi
kwa mahesabu na mlinganyo sahihi lazima K lyn atampenda mengi tu

Kama sio mwanahisabati huwezi kulijua hili

Mkuu hesabu cha mtoto. Wachumi tuna kitu kinaiitwa "demand and supply forces" tafuteni helaa
 
Kwa kuwa hatakaa afilisike maishani hawezi jua for sure kipi alichompendea...
Ingekuwa wenzangu na mie ningesema asubiri achache ndio atajua kama alipenda machache au mengi
 
Back
Top Bottom