as1987
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 1,256
- 598
Hao Watoto Ndo Amezaa Na Huyo Au?
yap ndo watoto wa mengi aliozaanae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Watoto Ndo Amezaa Na Huyo Au?
Dr Mengi, you don't have to explain to anybody why you married that woman. I believe you did that based on the same reasons as everybody else, so why do you have to explain? If they don't like it they can just eat a **!
Haya ndio mawazo ya grt thinker
ni bahati hiyo
Ha ha ha! Nicheke mie baada ya zile threads kufutwa naona watuhumiwa wameanza kurudi.
😀😀😀😀
K lyn love money
Money love Mengi
kwa mahesabu na mlinganyo sahihi lazima K lyn atampenda mengi tu
Kama sio mwanahisabati huwezi kulijua hili
Kwahiyo K-Lynn ni mwanahisabati?
Yaani wameniudhi basi tu, hata hakunogi tena humu, cjui nihamie wapi
Detective mwenzangu kaniaibisha sana.Natamani hata ni sign of basi tu nashindwa.
Saa hizi episode 2 zingekua zimeshaisha...daaah!
Pole kukuomba ufanya ulichosema kuwa unakijua inatakiwa kufuatilia uzi kweli wengine wanajitegeshea dah???????
LIKUD ukweli utabaki pale pale wanaume asilimia kubwa duniani wanapenda sana kudekezwa, kuona wanafanyiwa mambo yao na wake zao.
kuna wanaume ambao kufua, kupika wakifanyiwa haya na wake zao hufurah zaid kuliko makifanya house helper..................mwanzoni nilidhan ni waafrika tu ndio wanaopedna haya ila nikaja kukuta hata wazungu baadhi yao hasa watu wa uingereza wanapenda sana kufanyiw ahizi kazi na wake zao.
ni credit nzuri kwa mama kujua kuihudumia familia yako hasa kwenye yale mambo ya msingi ambayo wengi huona ni kazi za kudeligate. natoa mfano kuna siku majuzi tu nilikuwa nafua bafuni nikashangaa hubby kaja kukaa karibu yangu yangu tunapiga story nikajikuta ninasaidiwa tu kusogezewa nguo na kutoa za kwenda kuanika nlipo hamia kazi nyingine nikajikuta bado naendelea kusaidiwa na kupigiwa stori za hapa na pale basi jumamos yangu ikawa ya raha sana.
nilichogundua ni hiki kukaa tu sebuleni kutizama tv na kutengeneza nywele hakumfanyi mwanaume avutiwe na wewe zaid ila kila kitu kina ladha yake kwenye mapenzi hata ufanyaji wa hizi house works huongeza chachu manake muda anakuona unafanya hayo hujiuliza anawezaje kukutia moyo zaid?? basi inabidi kitandani akufurahishe zaid manake anajua antakiwa akumotivate lol!!!!!!
wanawake tusidharau haya mambo hata kidogo, yana contribution yake ila sasa kama pia huoni umuhimu wake you can just ignore them.
muda mwingine kazi kama kufua kuosha viatu vya mumeo hukufanya uwe na uhakika na aina ya nguo atakayo ivaa na hali yake. Am telling you nguo usiyoikagua huwez kujua wapi inahitaj marekebisho kama ya kurudishiwa kifungo, zipu iloharibuka, kiatu chenye hitilafu nk. mahala pekee pa kuyajua hayo ni wakati unapozikagua ili usafishe/ufue. ukishindwa hapo utafuliwa utapasiwa utsmpangia aje avae na siku ya kuvaa ndipo unakuta nguo haina kifungo mara sijui imetatuka nk
hii pia haina tofauti na upish kwa kweli huwa siwaelewi wale ambao wansema kazi zinawatinga adi wnaenda kununua mssosi mtani ya kuja kula na familia...........as a mother learn to plan your time table ili uweze kupikia familia japo mara moja basi kwa siku yaani ikishindikana kabisa ata week end tuu...............apo ndipo utakapoweza kuona wanao wanfurahiaje chakula cha mama, mumeo anapenda chakula kilichopikwaje nk afya ya familia huongezeka ikiwa mama atakuwa ni mpish wa familia yake
sorry nime act kizaman lkn kwangu mie hii inaapply zaid
K lyn love money
Money love Mengi
kwa mahesabu na mlinganyo sahihi lazima K lyn atampenda mengi tu
Kama sio mwanahisabati huwezi kulijua hili
I love thatMzeee mzeeeeeeeeeeeeeee hayaaaaaa buaanaaaaz nani anapenda kulala na babu hapo ni pesaa tu