Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Status
Not open for further replies.
Duu Si mchezo. Kweli pesa inatakiwa ijae sana.
 
NasDaz njoo uone huku, na mimi nataka tukafungie ndoa angani tuazime airforce one ya Obama, wana jf wotee tutawagharamia kila kitu hadi mavazi, kisha tutawapa offer ya kula bure kwenye 5star hotel yoyote mwaka mzima kama asante kwakuhudhuria, upo tayari?????? kama haupo tayari sema mi niende kwa Rugemalila.
 

Kwa hiyo mtu akiolewa na masikini ndio kiashirizi cha kutokuwa na njaa?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…