Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Status
Not open for further replies.
Njaa hzi mbaya sanaaa hahaha.....dem katumia fursa ipasavyo, ka upgrade her net worth overnight dadek, maisha mafupi haya. Ndio maana unaambiwa usishindane na mwanamke.....hata vitabu vya dini vimeeleza mengi on these beings.
ACHA NIRUDI MZIGONI ....Lol

hapo kwenye herufi kubwa ni uamuzi sahihi kabisa
 
Bora alivyohalalisha.

Maana kuna kipindi mzee Mzima alifuatwa na Mama Abraham hapo kwenye luxury apartments next to Silver Oak, mama ana mguu wa kuku getini, walinzi wanataka kumzuia, huku ndani Mnyarwanda anamhimiza Mengi aruke ukuta.

Mengi alivyo stelingi wa kichaga akaruka ukuta na kukimbia mpaka Muhimbili kupanda taxi, huku amevaa kikofia kuficha sura.

Watoto wa mtaani wakapata tambala.
 
Pesa sabuni ya roho, ivo ikiwepo mapenzi yanakuwa matamuuuuuuuuuu.

Yaani huyu mzee ananifanya nizidi kupambana na kujaza pesa zangu, coz watoto wazur Kama hawa ukiwwa na chapaa hawatemii ndoanoo, na maisha yanakua matamu Sana, haalafu unabebesha fasta fasta ili awe busy kidogo nakuleaa na huku anakuhudumiaa ipasavyoo jamanii pesaa weweee 🙌🙌🙌🙌🙌🎼🎶🎼🎶🎶🎶🎼🎶🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤
 
Bora alivyohalalisha.

Maana kuna kipindi mzee Mzima alifuatwa na Mama Abraham hapo kwenye luxury apartments next to Silver Oak, mama ana mguu wa kuku getini, walinzi wanataka kumzuia, huku ndani Mnyarwanda anamhimiza Mengi aruke ukuta.

Mengi alivyo stelingi wa kichaga akaruka ukuta na kukimbia mpaka Muhimbili kupanda taxi, huju amevaa kikofia kuficha sura.

Watoto wa mtaani wakapata tambala.

Hahahahahaha ...... hii stori ilinichekesha sana ........ imagine yule mzee akiruka ukuta ......
 
Bora alivyohalalisha.

Maana kuna kipindi mzee Mzima alifuatwa na Mama Abraham hapo kwenye luxury apartments next to Silver Oak, mama ana mguu wa kuku getini, walinzi wanataka kumzuia, huku ndani Mnyarwanda anamhimiza Mengi aruke ukuta.

Mengi alivyo stelingi wa kichaga akaruka ukuta na kukimbia mpaka Muhimbili kupanda taxi, huju amevaa kikofia kuficha sura.

Watoto wa mtaani wakapata tambala.

Te!te! te! Kweli nyuma ya pazia kunamambo.
 
Bora alivyohalalisha.

Maana kuna kipindi mzee Mzima alifuatwa na Mama Abraham hapo kwenye luxury apartments next to Silver Oak, mama ana mguu wa kuku getini, walinzi wanataka kumzuia, huku ndani Mnyarwanda anamhimiza Mengi aruke ukuta.

Mengi alivyo stelingi wa kichaga akaruka ukuta na kukimbia mpaka Muhimbili kupanda taxi, huku amevaa kikofia kuficha sura.

Watoto wa mtaani wakapata tambala.

hahahahaha...umenichekesha sana mkuu, hakuna mtu aliempiga picha wakati mzee mzima anaruka ukuta? teh teh
 
Bora alivyohalalisha.

Maana kuna kipindi mzee Mzima alifuatwa na Mama Abraham hapo kwenye luxury apartments next to Silver Oak, mama ana mguu wa kuku getini, walinzi wanataka kumzuia, huku ndani Mnyarwanda anamhimiza Mengi aruke ukuta.

Mengi alivyo stelingi wa kichaga akaruka ukuta na kukimbia mpaka Muhimbili kupanda taxi, huku amevaa kikofia kuficha sura.

Watoto wa mtaani wakapata tambala.

Mkuu hii ni true story?Basi kaazi kweli kweli aiseeeeee duh
 
Yaani huyu mzee ananifanya nizidi kupambana na kujaza pesa zangu, coz watoto wazur Kama hawa ukiwwa na chapaa hawatemii ndoanoo, na maisha yanakua matamu Sana, haalafu unabebesha fasta fasta ili awe busy kidogo nakuleaa na huku anakuhudumiaa ipasavyoo jamanii pesaa weweee 

I think marriage is not a good idea when you have much money, hawachelewagi kuulizia paso kwa paso bila huruma. Uwaone hivyo hivyo wananukia fragrance, wakikuchenjia hao wanakuwa kama mashetani. Wajameni tuwe makini sana.
 

I think marriage is not a good idea when you have much money, hawachelewagi kuulizia paso kwa paso bila huruma. Uwaone hivyo hivyo wananukia fragrance, wakikuchenjia hao wanakuwa kama mashetani. Wajameni tuwe makini sana.

Kwahio unatuambia tuendeleee kuzini tuu nasio kuoa tena? Ila pia wakati mwingine nikua makini na machaguo utakayo yafanya ila kwakwelii watoto wazur mi nawao ni damu damu
 
Kwahio unatuambia tuendeleee kuzini tuu nasio kuoa tena? Ila pia wakati mwingine nikua makini na machaguo utakayo yafanya ila kwakwelii watoto wazur mi nawao ni damu damu


Watoto wazuri na hela ni damu damu pia, ni ukweli usiofichika mamilionea wote kwenye ndoa mwisho wa siku wanaangukia pua.
 
Yaani huyu mzee ananifanya nizidi kupambana na kujaza pesa zangu, coz watoto wazur Kama hawa ukiwwa na chapaa hawatemii ndoanoo, na maisha yanakua matamu Sana, haalafu unabebesha fasta fasta ili awe busy kidogo nakuleaa na huku anakuhudumiaa ipasavyoo jamanii pesaa weweee 🙌🙌🙌🙌🙌🎼🎶🎼🎶🎶🎶🎼🎶🎤🎤🎤🎤🎤🎤🎤

Ni wewe tu kazana kuzichanga, pesa ndio silaha, hahahahaha!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom