kiroboto21
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 887
- 325
hivi vizee vya namna hii vinapatikana wapi...nijisevie hata mmoja
Haaaaaaa muulize klyn aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi vizee vya namna hii vinapatikana wapi...nijisevie hata mmoja
Mkuu hii ni true story?Basi kaazi kweli kweli aiseeeeee duh
hivi vizee vya namna hii vinapatikana wapi...nijisevie hata mmoja
hivi vizee vya namna hii vinapatikana wapi...nijisevie hata mmoja
Naomba nikualike mahali weekend hii, kuna business meeting na watu hawa watakuwepo wengi
True story, vijana wa mjini wote waliokuwa mitaa hiyo ya Upanga late nineties wanaijua.
Halafu unaangalia habari unaona kwenye ITV "Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Reginald Mengi ametangaza mikakati ya kudhibiti UKIMWI..."
Imekaa poa saaaaana hiyo
Njaa hzi mbaya sanaaa hahaha.....dem katumia fursa ipasavyo, ka upgrade her net worth overnight dadek, maisha mafupi haya. Ndio maana unaambiwa usishindane na mwanamke.....hata vitabu vya dini vimeeleza mengi on these beings.
Wacha nirudi mzigoni....Lol
True story, vijana wa mjini wote waliokuwa mitaa hiyo ya Upanga late nineties wanaijua.
Halafu unaangalia habari unaona kwenye ITV "Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Reginald Mengi ametangaza mikakati ya kudhibiti UKIMWI..."
Njaa hzi mbaya sanaaa hahaha.....dem katumia fursa ipasavyo, ka upgrade her net worth overnight dadek, maisha mafupi haya. Ndio maana unaambiwa usishindane na mwanamke.....hata vitabu vya dini vimeeleza mengi on these beings.
Wacha nirudi mzigoni....Lol
hivi vizee vya namna hii vinapatikana wapi...nijisevie hata mmoja
hivi vizee vya namna hii vinapatikana wapi...nijisevie hata mmoja
She z an opportunist nd very ambitious. All she wanted was to hit tha jackpot when she is still young.
Live large akiwa bado mbichi bila ya jasho lolote. Wanawake wengi sanaa wanaojiona wazuri hupenda hii formular....na wengi huishia pabaya. Utakuta most wanajifanya wana attend sana nyumba za ibada kwa mavazi ya kupendeza....fact wako mawindoni.
Sasa kumbe ni kitu cha kawaida na hajafanya jipya, ila amepata jackpot tu?
Unataka kuniambia klyn na Mengi walianza kudate 90's
Ndio maana nikasema hapo awali, hamna true love in that affair impendendwa hela. All in all its their life.
Sio Klyn, kuna mama mmoja Mnyarwanda alikuwa anakaa Upanga kwenye zile expensive apartments next to Silver Oak zilivyojengwa tu, na kazi alipewa ITV if memory serves. I can't remember with certainty her name, I think it was Madam Rita Paulsen.
Enzi hizo Mengi yuko na mkewe mama Abraham.