Mengi na K-lyin got married in Mauritius

Status
Not open for further replies.
Mmh ngoja namie nimtafute mengi wangu anioe lol!
 

Fanyeni mpango mumtenge kanisani ili akate mirija ya Asali maana hata misikitini anakubalika
 

Dah!! Huyu Mzee kumbe ni muhuni hivi!!!!? Ujanani alikuwa busy sana kutafuta pesa au?
 
 

iwe inakubalika au haikubaliki lakini si unajua mapenzi ni ya wawili? hata kama ulimwengu mzima ukipinga kama wao wawili wameridhia baaas hakuna anaeweza kubadilisha
 
Dinazarde tena kipindi hicho ilikuwa enzi za fisadi papa na nyangumi,hadi Rostam akampaka mbovu Mengi akimwambia kuwa anaoa na kutembea na wanawake wenye umri sawa na binti yake,ila mwe hivi ile sheria imepita ama?maana tusijefungwa bure

Hahahaaaa twafaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…