hata hyo ndoa haitodumu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji859][emoji859][emoji859][emoji859]hyu bwana wa zamani alikuwa mzuri kweli
napenda sana wanaume weusi hyo wa sasa sio flavour kabisa
hata hyo ndoa haitodumu
hata hyo ndoa haitodumu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji859][emoji859][emoji859][emoji859]
HahahaaUnaongea na sisi ama unaongea na simu?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
Mkuu hilo tako liko wapi!!?
Unampa sifaaa..... ona alichofanya sasa,wenzake wanamtetea kua video zisisambazwe eti wataaibika dada zetu na mama zetu.Mama au dada yangu wasitumike kama ngao.Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
rudia kuandika ulichoandika mkuuNasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
rudia kuandika ulichoandika mkuu
Unampa sifaaa..... ona alichofanya sasa,wenzake wanamtetea kua video zisisambazwe eti wataaibika dada zetu na mama zetu.Mama au dada yangu wasitumike kama ngao.
Unaongea na sisi ama unaongea na simu?
Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
Huyu ni wife matetial kweli???[emoji849][emoji849][emoji849]
Zamani ndo imeleta majibu hayoHiyo ni zamani sana
Zamani ndo imeleta majibu hayo
Kumbe ulikua unamuongelea mtu tabia kwa kutumia a/c ya IG?😳.Mkuu hii thread ni mwaka 2016..so ni kaburi limefukuliwa.
Aliolewa na mtoto was muheshimiwa sospeter muhongo ndoa ikavunjika
Mwaka 2016 akaolewa na huyo kaka shombe mwaka huu mwanzoni ikavunjika.
Haya Leo mapya!
Labda nlivyokua namuona mie maana mitandaoni watu wako fake sana.
Najua ni zamani. Tunafanya correlation hizo hoja na sasa, ni dhahili hakustahili kuolewa kama ndo yuko hivyo( ulimtupia lawama muoaji kumbe lawama zilimfaa muolewaji).Hili ni kaburi la 2016..kasome juu