Meninah afunga ndoa tena

Meninah afunga ndoa tena

wp-1465138270038.jpeg
hyu bwana wa zamani alikuwa mzuri kweli
napenda sana wanaume weusi hyo wa sasa sio flavour kabisa
hata hyo ndoa haitodumu
hata hyo ndoa haitodumu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji859][emoji859][emoji859][emoji859]
 
Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
Unampa sifaaa..... ona alichofanya sasa,wenzake wanamtetea kua video zisisambazwe eti wataaibika dada zetu na mama zetu.Mama au dada yangu wasitumike kama ngao.
 
Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
rudia kuandika ulichoandika mkuu
 
Huyu ni wife matetial kweli???[emoji849][emoji849][emoji849]
Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
 
Mkuu hii thread ni mwaka 2016..so ni kaburi limefukuliwa.
Aliolewa na mtoto was muheshimiwa sospeter muhongo ndoa ikavunjika
Mwaka 2016 akaolewa na huyo kaka shombe mwaka huu mwanzoni ikavunjika.
Haya Leo mapya!
Labda nlivyokua namuona mie maana mitandaoni watu wako fake sana.
Huyu ni wife matetial kweli???[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mkuu hii thread ni mwaka 2016..so ni kaburi limefukuliwa.
Aliolewa na mtoto was muheshimiwa sospeter muhongo ndoa ikavunjika
Mwaka 2016 akaolewa na huyo kaka shombe mwaka huu mwanzoni ikavunjika.
Haya Leo mapya!
Labda nlivyokua namuona mie maana mitandaoni watu wako fake sana.
Kumbe ulikua unamuongelea mtu tabia kwa kutumia a/c ya IG?😳.

Siku nyingine uwe serious.
 
Back
Top Bottom