Mkuu hii thread ni mwaka 2016..so ni kaburi limefukuliwa.
Aliolewa na mtoto was muheshimiwa sospeter muhongo ndoa ikavunjika
Mwaka 2016 akaolewa na huyo kaka shombe mwaka huu mwanzoni ikavunjika.
Haya Leo mapya!
Labda nlivyokua namuona mie maana mitandaoni watu wako fake sana.
Kumbe ulikua unamuongelea mtu tabia kwa kutumia a/c ya IG?[emoji15].
Siku nyingine uwe serious.
Najua ni zamani. Tunafanya correlation hizo hoja na sasa, ni dhahili hakustahili kuolewa kama ndo yuko hivyo( ulimtupia lawama muoaji kumbe lawama zilimfaa muolewaji).
Ukiona mtu ametoboa ulimi ile sifa ya w/material inakufa.Mkuu hii thread ni mwaka 2016..so ni kaburi limefukuliwa.
Aliolewa na mtoto was muheshimiwa sospeter muhongo ndoa ikavunjika
Mwaka 2016 akaolewa na huyo kaka shombe mwaka huu mwanzoni ikavunjika.
Haya Leo mapya!
Labda nlivyokua namuona mie maana mitandaoni watu wako fake sana.
I hope huyo sio role model wako..
Mimi hapo siwezi mlaumu mwanaume..
Mwanamke mwenyewe kajiharibia kwa kutokuwa na akili kichwani...
Yani huu utandawazi tunaona mengi sana ya ajabu ajabu.
Haaa...how?Ukiona mtu ametoboa ulimi ile sifa ya w/material inakufa.
Huwa huwaoni juu ya ulimi wanaweka chuma?Haaa...how?
Vipi mkuu, una maoni gani ukizingatia yaliyotokea hivi karibuni?Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
hyu bwana wa zamani alikuwa mzuri kweli
napenda sana wanaume weusi hyo wa sasa sio flavour kabisa
hata hyo ndoa haitodumu
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Vipi mkuu, una maoni gani ukizingatia yaliyotokea hivi karibuni?
Mi naona ni urembo tu...au ndo eeerr blowjob thingsHuwa huwaoni juu ya ulimi wanaweka chuma?
Inawezekana ikawa blowjobMi naona ni urembo tu...au ndo eeerr blowjob things
Na bado...karibu asilimia 90 ya wasanii wana video za hivi..
Na bado...karibu asilimia 90 ya wasanii wana video za hivi..
Sawa sawa msemaji wa Meninahhyu bwana wa zamani alikuwa mzuri kweli
napenda sana wanaume weusi hyo wa sasa sio flavour kabisa
hata hyo ndoa haitodumu
Ndio hivo..jiulize kwanini wanateteana.Na ndio maana wengi wao hawashangai na hawamcheki Amber Luty!
Dini inakataza sex?Kuna siku zamaradi alimsifia sana huyu BINTI kuwa kashika sana dini..simuhukumu ila ile ASS shaking like Bella Bellz inanipa mashaka kwa mtu aliyeshika dini.