Meninah afunga ndoa tena

Meninah afunga ndoa tena

I hope huyo sio role model wako..

Mimi hapo siwezi mlaumu mwanaume..

Mwanamke mwenyewe kajiharibia kwa kutokuwa na akili kichwani...

Yani huu utandawazi tunaona mengi sana ya ajabu ajabu.

Mkuu hii thread ni mwaka 2016..so ni kaburi limefukuliwa.
Aliolewa na mtoto was muheshimiwa sospeter muhongo ndoa ikavunjika
Mwaka 2016 akaolewa na huyo kaka shombe mwaka huu mwanzoni ikavunjika.
Haya Leo mapya!
Labda nlivyokua namuona mie maana mitandaoni watu wako fake sana.
 
Mkuu hii thread ni mwaka 2016..so ni kaburi limefukuliwa.
Aliolewa na mtoto was muheshimiwa sospeter muhongo ndoa ikavunjika
Mwaka 2016 akaolewa na huyo kaka shombe mwaka huu mwanzoni ikavunjika.
Haya Leo mapya!
Labda nlivyokua namuona mie maana mitandaoni watu wako fake sana.
Ukiona mtu ametoboa ulimi ile sifa ya w/material inakufa.
 
Nasikia huyo peter alikua anamkong'oli manundu mtoto mzuri menina. Binti akaona isiwe shida waachane kimya kama walivyofunga ndoa kimya!
Yaan ukiingia insta ya menina utaona kabisa ni binti wa dini sana halafu anajiheshimu sio kama miaka ya zamani alivokua anaimba. Inshort ni wife material kwa sasa,jamaa kachezea kizuri mwenzie kakiwahi.
Vipi mkuu, una maoni gani ukizingatia yaliyotokea hivi karibuni?
 
Aisee yaani jamaa alibadili dini kwa sababu ya papuchi...cheki sasa imemkimbia. Mapapuchi yalivyojaa tele unayabadilishia dini kabisa? Serious?
 
wp-1465138270038.jpeg
hyu bwana wa zamani alikuwa mzuri kweli
napenda sana wanaume weusi hyo wa sasa sio flavour kabisa
hata hyo ndoa haitodumu

Duh!
 
Nimetoka kusikiliza intvw wa aliyekuwa mume wake wa pili,jamaa ni Gentleman japokuwa mwandishi alikuwa ana mchokonoa lkn amemstiri sana Menina.



Ila najiulizaga hivi kwa nini wanawake ,wanapenda wanaume wahuni wahuni,pasta vichwa,wale wenye maneno mengi kama Mwijaku alafu wanawaacha watu wa maana,yaani sijui kwenye vichwa vyao huwaga wana wazaga nini.

Alafu kumbe video zile Menina ndiye aliyemtumia Mwijaku,sasa sijajua ndio alikuwa ana mtongoza ili amgonge,Mwijaku naye ndio akaamua kuziachia.

Ila dada zangu huwaga wanaponzwaga sana na maamuzi yao mabovu,yaani video ya masaa machache,iliyovujishwa na mpuuzi Mwijaku asiyejua thamani na utu wa Mwanamke,ishamshusha thamani Menina.

Alafu masistaa du na macelebrity wengi wa bongo wanazo hizi video tena wemejirekodi kwa utashi wao wenyewe,tena wengine wanazisambaza wenyewe,manake hizi video zishakuwa kama series hatujui kesho itakuwa zamu ya nani.
 
Na ndio maana wengi wao hawashangai na hawamcheki Amber Luty!
Ndio hivo..jiulize kwanini wanateteana.
Hats wasio na umaarufu wanafanya huu upuuzi..
Ni swala la kua makini tu.maana unaweza jiapia siwez kufanya huu upuuzi then mpenzi wako anakurekodi kisirisiri..
 
Kuna siku zamaradi alimsifia sana huyu BINTI kuwa kashika sana dini..simuhukumu ila ile ASS shaking like Bella Bellz inanipa mashaka kwa mtu aliyeshika dini.
 
Back
Top Bottom