Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Mama yangu meno yake yanatoa vitu km mchanga na vinyuzi nyuzi, alikwenda hospitali walimkwangua na kumpa dawa ya YUsso kwa siku 7 na flagily na amoxilin, DR alisema ufiz unakutu.Lakin tatizo bado halijaisha. Naomben msaada Dr wa humu ndan