Meno ya Diamond Platnums ni shs milioni 11

Ana wivu sana na chuki binafs.jamaa mwenyewe hamjui wala nini. Kazi kuponda na ukimfatilia huyo Jane Lowassa hata kazi hana kutwa kuponda kila post ya msanii hanaga jela.SIMPENDIII na Ningekua admn ningeshampiga ban fala huyu
Jane anatia huruma sana... sina uhakika ikiwa Jane Lowassa ni completely new person with new ID in town (kv zamani nilikuwa siioni) au ni old person in new ID! Kama ni old person in new ID then fine for her lakini kama ni new person in new ID then am very sorry for her manake huyu Chibu atampa pressure tu... watu wame-deal na Chibu kwa angalau miaka 3 sasa na wote hao ramli yao imekuwa kifo cha Diamond ndani ya muda mfupi ujao lakini ndo kwanza jamaa anaendelea kung'aa badala ya kuporomoka!
 
Ukiona hivyo ujue BANGE LILISHAANZA KUKOLEA!! SASA HIVI ATAKUWA KAMA CHUDU BENZI!! NA BINTI ALIYETOLOWA PESA NA JAKATA KUTIBIWA!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…