miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Siku hiyo uniite sababu ni kazi sana kulea baba peke yake . Poleacha tu ni story ndefu ..itanifanya nianze toa machoz i thnk nitakuja kushare nanyi one day hapa jukwaani
ngoja kwanza nideal na afya ya hii sura yake
Aminathanks..na hii mipilika ya shughuli za dar unaondoka mtoto kalala unarudi kalala ..jst housgel ndo anaonana naye mpaka jpl.. mungu atusaidie
Asante sanai promise nitakumbuka kukuita
BarikiwaNIKUSHUKURU ZAIDI WW mmenishusha presha kdg
Uckubali kwenda kwa mtogole mkuu. Kumbuka rahisi ni ghari vile vile.asante
Kwani Ukimuacha hivyo atapata effect Gani au Ujinsi wa Kike utapotea au kuna nini..... Hizi mambo za Kupingana naMungu huwa sizielewi hasa Mtoto akiwa wa Kike.....
- Kuchonga Meno..
- Kusafisha Meno- Wachaga na Wasingida Poleni
- Kuongeza kucha
- Kutoa Nyusi
- Vipini Kitovuni, Puani, Kopeni, Ulimini nkt
Niambieni kasoro za hizo zina madhara gani.[/QUOTE
MKUU elewa sio kitu cha kawaida jino kuota kenye fiz ndani wakati lingine halijatoka ...sio kupingana na mungu bali maarifa tuliyonayo /tuliyopewa na mungu yatuongoze ..kwa mfano nahis kwako wewe ni sawa kwa watoto waliozaliwa wameungana waachwe hivyo hivyo au mtoto aliyezaliwa bila njia ya haja asifanyiwe upasuaji panapowezekana....ni samehe kwangu mimi mtotio wangu kuwa na mwonekano mzuri ni kitu cha kwanza kwani kinampa confidence... bt the same MUNGU NIMWAMINIE ANASEMA WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA ..........
Sasa hapo kapingana na Mungu kiaje? Umetaja mambo ambayo hata hayapo kwenye madaKwani Ukimuacha hivyo atapata effect Gani au Ujinsi wa Kike utapotea au kuna nini..... Hizi mambo za Kupingana naMungu huwa sizielewi hasa Mtoto akiwa wa Kike.....
- Kuchonga Meno..
- Kusafisha Meno- Wachaga na Wasingida Poleni
- Kuongeza kucha
- Kutoa Nyusi
- Vipini Kitovuni, Puani, Kopeni, Ulimini nkt
Niambieni kasoro za hizo zina madhara gani.
Kuna waya anavalishwa unayanyoosha
Muhimbili dental unit hakuna foleni ya kutisha, watoto wanapewa priority na wana madaktari wao. Bei zao ni nafuu, utaalam ni wa hali ya juu na angekuwa hajavuka miaka mitano huduma ni bure.Foleni pale
Okey mkuu asante aiseeMuhimbili dental unit hakuna foleni ya kutisha, watoto wanapewa priority na wana madaktari wao. Bei zao ni nafuu, utaalam ni wa hali ya juu na angekuwa hajavuka miaka mitano huduma ni bure.
Izo orthodontic appliance zinaekwa kwa watoto weny umri wa miaka 15 kupanda juu akiwa na meno yameota vibaya na sio miaka 5 adi 14 around apo mtt anakua na mixed dentition (mchanganyiko meno ya utoto na utu uzima) so nikungoa kwanza ilo lililolika ilo litarudi kwenye sehem yake ndani ya wik 3
Jino jipya kuota kabla ya kuondoa jino la zamani ni sahihi?Kwani Ukimuacha hivyo atapata effect Gani au Ujinsi wa Kike utapotea au kuna nini..... Hizi mambo za Kupingana naMungu huwa sizielewi hasa Mtoto akiwa wa Kike.....
- Kuchonga Meno..
- Kusafisha Meno- Wachaga na Wasingida Poleni
- Kuongeza kucha
- Kutoa Nyusi
- Vipini Kitovuni, Puani, Kopeni, Ulimini nkt
Niambieni kasoro za hizo zina madhara gani.
Jaman mtt wa miaka 6 root canal haiwezi kufanyika hata siku 1 iyo nikwa watuwazima yani permanent dentition apo nikung'oa ndio treatment of choice apo elf 20 tuuu kwa darMkuu bei za meno zipo juu mkuu.. jipange ..hii njia ya mikocheni zipo kama mbili. Me niliwashindwa lakini root canal mpaka laki mbili ... nikaenda moja kinondoni moroco wakafanya kwa laki...
Ni sahihi kam la utoto alita legea nakutolewa mapema ikitokea ivyo likatolewe ospitali au kwa dentist yyte karbJino jipya kuota kabla ya kuondoa jino la zamani ni sahihi?
love thé love or hâte thé love.....