Natoa rai kuwa serikali iwakate pembe tembo wetu wote, kama ambavyo ng'ombe hukatwa zihifadhiwe na serikali.
1. Kwa namna hiyo tutaweza kuhifadhi uzao wao, maana hawatawindwa tena na majangili.
2. Serikali Izitumie kama bond kupata mitaji ya shughuli za uzalishaji.
TUJADILIANE!!
1. Kwa namna hiyo tutaweza kuhifadhi uzao wao, maana hawatawindwa tena na majangili.
2. Serikali Izitumie kama bond kupata mitaji ya shughuli za uzalishaji.
TUJADILIANE!!