Meno yameenda!

Meno yameenda!

SirAlfred006

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2020
Posts
517
Reaction score
1,243
Dawa ya jino ni kuling'oa. Hakuna dawa nyingine.
20230219_184711.jpg
 
Pole mkuu jitahidi sana kuzingatia usafi wa kinywa , tumia dawa za meno bora zilizothibitishwa kitaalamu, epuka sukari sukari, safisha kinywa walau mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni, badilisha miswaki walau kila wiki mbili, zingatia vyakula vinavoimarisha afya ya meno pia
 
Pole mkuu jitahidi sana kuzingatia usafi wa kinywa , tumia dawa za meno bora zilizothibitishwa kitaalamu, epuka sukari sukari, safisha kinywa walau mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni, badilisha miswaki walau kila wiki mbili, zingatia vyakula vinavoimarisha afya ya meno pia
Hata akizingatia yafaa nini wakati meno ya kutafunia ndo hayo yamelala yoo?
Huyo sasa hv ukitaka mpigane mpe ufuta atafune uone
 
Back
Top Bottom