Men's Fashion: DOs and DONTs

Men's Fashion: DOs and DONTs

Hizo wacha zinipite tu...mimi siyo mtu trendy...bado navaa kama mtu wa late 1990s na early to late 2000s. Nitatupia jeans langu la Levi's, Old Navy ama Wrangler ni yote hayo ni lazima yawe straight or regular na siyo loose sana.

Nikivaa skinny jeans naona kama najichoresha. Yaani mwanaume mzima unabana makalio ili iweje!

Ngoja kwanza...late 90s na early 2Ks si ndo ilikuwa era ya over-sized jeans, over-sized throwback jerseys, white tees, na kadhalika?

You still stuck in that era?

2004_MIke%20Jones.jpg
 
Drop your expertise, and help another brother get his style and grace together in this fashionable world we live in.

DOs

..Vaa viatu visafi kila mara. Attention unayovipa viatu vyako inaelezea unavyojithamini.

..Vaa nguo zinazokutosha sawia. Sio za kubana sana, wala zisiwe kubwa mno.

..Oga na jali usafi bro. Usafi ni afya.

DONTs

..Usichomekee kamwe kama mkanda haufanani na rangi ya kiatu chako.

..Usivae suti na huna usafiri, hata wa kukodi. Utachoreka tu.

..Usijichubue kamwe.


Karibuni.
SIKU HIZI IMEZIDI KUWA VIGUMU KUTOFAUTISHA JINSIA KWA MAVAZI.
Wanaume wanachubua
Wanaume wanasuka nywele
Wanaume wanaweka dawa nywele
Wanaume wanavaa tight suruali,shati nk nk
Wanaume wanavaa hereni
Wanaume wanavaa cheni
 
Ngoja kwanza...late 90s na early 2Ks si ndo ilikuwa era ya over-sized jeans, over-sized throwback jerseys, white tees, na kadhalika?

You still stuck in that era?

2004_MIke%20Jones.jpg
Levi's,Wrangler,Lee always ziko the same for years na sio buggy kama fashion za black americans ambao ndio waasisi wa oversize. Ukipata Levi's regular/boot fit inakuwa poa sana
 
Levi's,Wrangler,Lee always ziko the same for years na sio buggy kama fashion za black americans ambao ndio waasisi wa oversize. Ukipata Levi's regular/boot fit inakuwa poa sana

Jana tu nimeenda Macy's na nimeona Levi's za kila aina...kuanzia slim fit hadi baggy.

Usikariri tu kwamba hizo kampuni haziendi na wakati.

Zinafanya biashara na zinajua ni nini kiko kwenye chati na kipi hakipo kwenye chati.

Levi's zipo za kila aina na baggy ikiwa mojawapo ya hizo aina.
 
Jana tu nimeenda Macy's na nimeona Levi's za kila aina...kuanzia slim fit hadi baggy.

Usikariri tu kwamba hizo kampuni haziendi na wakati.

Zinafanya biashara na zinajua ni nini kiko kwenye chati na kipi hakipo kwenye chati.

Levi's zipo za kila aina na baggy ikiwa mojawapo ya hizo aina.
Honestly sijawahi kuona Levi's baggy na nishanunua from House of Fraser to Levi's store kwenyewe
 
Hizo wacha zinipite tu...mimi siyo mtu trendy...bado navaa kama mtu wa late 1990s na early to late 2000s. Nitatupia jeans langu la Levi's, Old Navy ama Wrangler ni yote hayo ni lazima yawe straight or regular na siyo loose sana.

Nikivaa skinny jeans naona kama najichoresha. Yaani mwanaume mzima unabana makalio ili iweje!
Si yo showing what yo mama gave ya.
 
Usijichubue kama yule malizia tu hapo tu.

Hapo kwenye suti ni sawa kabisa
 
Hata hizo zipo ingawa kwa fashion trends za sasa ni chache.

Kwanza hizo labels ulizozitaja nadhani zimeshakufa kabisa.

Lakini, hiyo niliyoiweka ni baggy. Siyo regular fit.

Regular fit ziko hivi:

945153-p-MULTIVIEW.jpg
Hii ni straight fit mkuu....Mimi navaa REGULAR ni kama zile ulizoweka mwanzo
 
Back
Top Bottom