Men's Fashion: DOs and DONTs

Men's Fashion: DOs and DONTs

What about this.....

uj1tsiXKU.webp


Na hiyo ndo regular fit ya Levi's ambayo iko categorizes na namba 505.
Yeah this one too, sipendi zile zinawabana mpaka chururu inaimba haleluya.
 
Nyani Ngabu hii kwangu ndio baggy jeans inapoanzia...

MULTIINDIGO.jpg

Sasa hiyo ina tofauti gani na ile niliyoiweka mimi? Huoni zote zilivyo kubwa kubwa?

Ni hivi, kila label ina vipimo vyake [kama unalijua hilo].

Kwa Levi's, line ya 505 ndo regular fit. Na nimekuwekea tovuti yao uingie uone mwenyewe...usije ukasema nimetunga.

Ile picha ya awali ya Levi's baggy, ni baggy jeans kweli. Regular fits hazinaga nafasi kubwa vile.

Bado unakataa kwamba line ya 505 ya Levi's siyo regular fit?

Hata ukienda kwenye maduka yanayouza Levi's 505 huwa huwa zinawekwa kwenye sehemu ya regular fits na hata ukisoma label zake zinasema kabisa kuwa ni regular fits.
 
Sasa hiyo ina tofauti gani na ile niliyoiweka mimi? Huoni zote zilivyo kubwa kubwa?

Ni hivi, kila label ina vipimo vyake [kama unalijua hilo].

Kwa Levi's, line ya 505 ndo regular fit. Na nimekuwekea tovuti yao uingie uone mwenyewe...usije ukasema nimetunga.

Ile picha ya awali ya Levi's baggy, ni baggy jeans kweli. Regular fits hazinaga nafasi kubwa vile.

Bado unakataa kwamba line ya 505 ya Levi's siyo regular fit?

Hata ukienda kwenye maduka yanayouza Levi's 505 huwa huwa zinawekwa kwenye sehemu ya regular fits na hata ukisoma label zake zinasema kabisa kuwa ni regular fits.
hio sawa kabisa. 505 ndio regular fit na 501?
 
Kitu nilichojifunza leo namba zile ndio 'fit' nilikuwa napenda tu 501 coz naona zinanikaa vizuri, sio ndogo sio kubwa very comfy

Yup..

Unajua watu tumetofautiana sana shepu.

Mimi binafsi jeans ninazozipenda ni za True Religion.

Napenda styles zao, napenda jinsi mifuko yake ilivyo kwa nyuma.

Na napenda zinavyonikaa.

Sina aina zingine za jeans zaidi ya True Religion.

Cuts zao ni kama vile ziko tailor made kwa ajili yangu.

Mpaka sasa sijutii ku own pairs kadhaa licha ya kuwa zina cost a king's ransom.
 
Kitu nilichojifunza leo namba zile ndio 'fit' nilikuwa napenda tu 501 coz naona zinanikaa vizuri, sio ndogo sio kubwa very comfy
Hivi mkuu jinsi za levis kwa hapa Dar zinapatikana wapi na bei zake zinaanzia shilingi ngapi....??
 
Usivae suti kama sehemu uliopo kuna jua au joto kali.
 
Usipulizie cologne au spray za kike......ukikatiza mbele ya madume wenzio utawakumbusha madem zao
 
Hapo umesema... usijichubue kamwe... kwa hiyo wasinywe maji?
 
Hii ni straight fit mkuu....Mimi navaa REGULAR ni kama zile ulizoweka mwanzo

Zile za kiboya saana..huwa nachukia saana siku hizi minguo oversized..very mbecillic.

Kwa nini mtu usivae jeans au nguo inayokutosha!? Maana kwa kuvaa manguo makubwa lazima uonekane hujijali na hujielewi.

Trust me sir!
 
Back
Top Bottom