Hivi mkuu jinsi za levis kwa hapa Dar zinapatikana wapi na bei zake zinaanzia shilingi ngapi....??
Drop your expertise, and help another brother get his style and grace together in this fashionable world we live in.
DOs
..Usivae suti na huna usafiri, hata wa kukodi. Utachoreka tu.
Karibuni.
Whaaaaaaaaaaat? ???My best casual....
Muda wa kukimbizana na suti uzeeni huko, ofisini kuchomekea kawaida tu... makoti tutavaa harusini
Hahha and you will fall even more when you see them on me lol!!!Whaaaaaaaaaaat? ???
HS is in love with this.......
Hehehe I understand you. Kwa kweli ntajitahidi tu isijetokea nikakuona[emoji39] [emoji39]Hahha and you will fall even more when you see them on me lol!!!
It feels comftabl...
Hehhe usinfanyie hivyo banah... kuna kanzu ntavaa kwa ajiri yako siku ya kuonana, hata usijari!!!Hehehe I understand you. Kwa kweli ntajitahidi tu isijetokea nikakuona[emoji39] [emoji39]
Teh nimegoma kudanganyikaHehhe usinfanyie hivyo banah... kuna kanzu ntavaa kwa ajiri yako siku ya kuonana, hata usijari!!!
Nope! I used to wear baggy jeans and over-sized tees...but, sasa nipo ndani ya regular and straight tu...tees za kawaida, mashati ya draft draft....na mountain creek boots...Timberland chukka boots...Ngoja kwanza...late 90s na early 2Ks si ndo ilikuwa era ya over-sized jeans, over-sized throwback jerseys, white tees, na kadhalika?
You still stuck in that era?
Mkuu Nzi,nilidhani wewe utakuwa unapenda vitu vinavyonuka,kama jina lako mkuuYote tisa, kumi hakikisha mdomo haunuki. Aisee katika kitu ambacho nakuchukia maishani ni kusikia mdomo wa mtu ukinuka. Hiki ndicho kipimo cha ustaarabu na utanashati.
Kwa hiyo nzi anavyokaa kwenye utamu utamu uwa anafuata vitu vinavyonuka?Mkuu Nzi,nilidhani wewe utakuwa unapenda vitu vinavyonuka,kama jina lako mkuu
Na kuhusu bei zake vipi mkuu....maana nataka nijikakamue nikatungue japo tatu tu....maana hii mijinzi ya kichina haikawii kupauka....Karibu na Woolworth PPF TOWER kuna duka la Levi's pale, sikuwahi kununua pale na sina uhakika kama duka bado lipo
Are u serious?Do
"Make sure your a familiar with sewing and tailoring skills."
Huwa nanunua baggy and regular then nazishona slim fit kwa kipimo changu mwenyewe....zinakuwa smart na murua saana.
Kuvaa baggy kwa robo saa hata waje FFU kombania nzima na magari ya maji ya kuwasha kuenforce hili sithubutu!!!...never!
Kuna kipindi nilipita kuangalia tu hilo duka...ni kweli wana Levi's nzuri, ila bei zao kibongobongo ni nuksi. Walikuwa wanauza jeans kwa laki 1 hadi laki 2. Hiyo ni miaka karibu 5 iliyopita...Na kuhusu bei zake vipi mkuu....maana nataka nijikakamue nikatungue japo tatu tu....maana hii mijinzi ya kichina haikawii kupauka....