Men's Fashion: DOs and DONTs

Men's Fashion: DOs and DONTs

Do...equip your self with knowledge. Gotta know what to say, when and how to say it. Stuff that come outta your head/mouth can overshadow your slick/lame looks.

Don't...ever text like retard. We live in a digital world, so texting adds to your style and character. 'til "x" officially replaces "s", text like a real man.
kuna mmoja aliniambia ndugu yake yupo ulaya. nikamuuliza nchi gani? eti akajjibu kuna nchi anasikia inaitwa ulaya!!! hapo hata uvae brand gani utaonekana haujatokelezea. pia haitakiwi kuwa mnerd.
 
For a pair of jeans kwangu mimi ni mtihani boss...ila TR bei kichaa
m859nvq6_cvtm_frt1


hii $379 ???!!!! Heaven Sent thaminisha hii.


True Religion ni sheeder!
Good thing unaivaa mpaka unaichoka.
 
kuna mmoja aliniambia ndugu yake yupo ulaya. nikamuuliza nchi gani? eti akajjibu kuna nchi anasikia inaitwa ulaya!!! hapo hata uvae brand gani utaonekana haujatokelezea. pia haitakiwi kuwa mnerd.


😀😀😀😀😀
 
unataka watu wapigiwe miluzi wewe. mwanaume kaa mbali na pink.
Daah bora umenisaidia mkuu, haya mambo ya nguo za pink yamemfanya yule DEO wa kipindi cha NIRVANA EATV kua vile alivyo, kama utani vile
 
Wadau mimi nauliza ni suti gani nzuri ya dukani au ya kushona na bei zake zikoje ? Na vp
Rangi gani nzuri ya kwenda ktk mambo ya harusi pale unapoalikwa?
Hahaha sorry kwa kucheka, siku nyingi sana sijasikia suti ya kushona mkuu hahah
 
  • Thanks
Reactions: kui
Do.....keep in mind that ladies always come first.

Huwa nashangaa sana wanaume wanaotangulia kuingia mahali hata kama wako na wenzi wao wanawa acha nyuma hata hawashikii mlango na wanaweza hata kugongwa. Ladies first guys!

Hold doors for ladies, open a car door for your lady and don't slam it on her so that you look like a gentleman and polished.
 
dah sasa si ngumu kupata exact size yako....au unachukua halafu unafanyia marekebisho kidogo
Sijawahi ona mtu amekosa size yake sis. Mpk size za wakina komba, wasira, mwala,great Khali zote zipo ni wewe tu
 
Do.....keep in mind that ladies always come first.

Huwa nashangaa sana wanaume wanaotangulia kuingia mahali hata kama wako na wenzi wao wanawa acha nyuma hata hawashikii mlango na wanaweza hata kugongwa. Ladies first guys!

Hold doors for ladies, open a car door for your lady and don't slam it on her so that you look like a gentleman and polished.

Do you think chivalry is dead?

Or for us it wasn't even there in the first place?
 
Do you think chivalry is dead?

Or for us it wasn't even there in the first place?


Heheheh!,...one of the things I can't stand is men who act as if women don't exist.
Halafu in public!
 
Sijawahi ona mtu amekosa size yake sis. Mpk size za wakina komba, wasira, mwala,great Khali zote zipo ni wewe tu
Mkuuvsahivi bei ya suti ya mtu mzima ina rate shilingi ngapi dukani?
 
Back
Top Bottom