Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
No wonder nina hii miguu amazing, kesho ntapiga pedo hiyo hatari, ntagongea na zile loafers zako amazing, watanikoma mtaa wa 2 tehTeh..Acha kuniua basi..Miguu yangu iko poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No wonder nina hii miguu amazing, kesho ntapiga pedo hiyo hatari, ntagongea na zile loafers zako amazing, watanikoma mtaa wa 2 tehTeh..Acha kuniua basi..Miguu yangu iko poa
hahaha kwa hiyo kama mtu ana viwalo vyake asitupie kisa tu kafulia?. Hakuna cha kuambatanisha hapa hahahhaNdio maana nikasema habari za kupendeza wakati mfukoni hamna kitu marufuku tusije haribiana siku, hivyo vitu viambatane tafadhali.
Viambatanisho lazima vikamilike, unless bora tu ushone pazia kama shemeji zangu.hahaha kwa hiyo kama mtu ana viwalo vyake asitupie kisa tu kafulia?. Hakuna cha kuambatanisha hapa hahahha
Ndio mnapeana moyo eti?No wonder nina hii miguu amazing, kesho ntapiga pedo hiyo hatari, ntagongea na zile loafers zako amazing, watanikoma mtaa wa 2 teh
Umaridadi unaficha umaskini....by the time unajua mfukoni empty too lateUvaaji unadetermine walet imetuna kiasi gani, sio upendeze alafu mfukoni empty, aiseee naweza zimia.
Drop your expertise, and help another brother get his style and grace together in this fashionable world we live in.
DOs
..Vaa viatu visafi kila mara. Attention unayovipa viatu vyako inaelezea unavyojithamini.
..Vaa nguo zinazokutosha sawia. Sio za kubana sana, wala zisiwe kubwa mno.
..Oga na jali usafi bro. Usafi ni afya.
DONTs
..Usichomekee kamwe kama mkanda haufanani na rangi ya kiatu chako.
..Usivae suti na huna usafiri, hata wa kukodi. Utachoreka tu.
..Usijichubue kamwe.
Karibuni.
Mie najua mfukoni empty siku ya kwanza tu, yaani nanusa pesa ilipo[emoji12]Umaridadi unaficha umaskini....by the time unajua mfukoni empty too late
Teh tutakuja kesho na daddy na nshomile mito kukiringishia miguu yetu. Jitahidi tu kuvaa deraNdio mnapeana moyo eti?
Ndio mnapeana moyo eti?
Yangu kuiona labda niwe nimevunjika alafu ikatundikwa juu, lasivyo utaishia kui-emagine tuTeh tutakuja kesho na daddy na nshomile mito kukiringishia miguu yetu. Jitahidi tu kuvaa dera
Me ntakufunua tu hadi niione. Mambo ya kuimagine sitaki hahahaYangu kuiona labda niwe nimevunjika alafu ikatundikwa juu, lasivyo utaishia kui-emagine tu
We mtoto kuwa na adabu.Me ntakufunua tu hadi niione. Mambo ya kuimagine sitaki hahaha
Hapo kwenye red, Ina maana niache kunywa maji????
Enheeee hapo hapo wewe ndio umenena jambo la msingi....hebu niambie nawezaje kuagiza hizi mambo online...na vipi kuhusu vipimo.....??agiza online via Amazon
wee Google hitaji lako mbele malizia na Amazon utapata namna ya kununua,Enheeee hapo hapo wewe ndio umenena jambo la msingi....hebu niambie nawezaje kuagiza hizi mambo online...na vipi kuhusu vipimo.....??
Asante sana ndugu kwa kunitoa tongo tongo....wee Google hitaji lako mbele malizia na Amazon utapata namna ya kununua,
na huku Jamii forums ukipitia kule kwenye biashara kuna maelezo ya kina juu ya kununua bidhaa mtandaoni
Apendeze na vitu vya maana sio mtishirt kama blauzi na jinz ya buku5 k.koo.
20k 😱😱😱Kuna kipindi nilipita kuangalia tu hilo duka...ni kweli wana Levi's nzuri, ila bei zao kibongobongo ni nuksi. Walikuwa wanauza jeans kwa laki 1 hadi laki 2. Hiyo ni miaka karibu 5 iliyopita...