Men's Fashion: DOs and DONTs

Men's Fashion: DOs and DONTs

Unanikumbusha kuna kipindi BURBERRY ilikuwa maarufu sana kwa class fulani ya Waingereza basi umaarufu wake ukafanya kila mtu avae hadi wale ma hoolligans wapenda na wafanya fujo mpirani, basi wale 'wenye label yao' wakasusia kuvaa, kampuni ili-shake karibia ife imeibuka tena juzi juzi na bado ina hali mbaya

Hivi vitu vipo. Kuna aina ya watu wakijihusisha na bidhaa au kitu flani, kinashuka thamani na hadhi. Kuna kipindi Jay-Z (as iconic as he is) alikuwa anaipa promo sana Cistal, MD wao hakupenda bidhaa yao kuhusishwa na Hip-hop na akasema. Jay akaacha.
 
Yote tisa, kumi hakikisha mdomo haunuki. Aisee katika kitu ambacho nakuchukia maishani ni kusikia mdomo wa mtu ukinuka. Hiki ndicho kipimo cha ustaarabu na utanashati.
mkuu Nzi uko sahihi 100%. asee kunuka mdomo si kwa mwanaume wala mwanamke nachukia sana. sasa mbaya zaidi unakuta mdada swaafi ila anatema mdomo!!
 
Kuongea kingereza sio tatizo, kama unakijua na kinakukubali. Kuna watu huwa wanalazimisha kuongea kama walivyosikia watu wa showbiz kiwanja wakiongea, na inakuwa matatizo. Design kama Salama kwenye vipindi vyake, akiswitch tu kusindikiza na lugha huwa na-mute kwa muda.
Huwa anakuwaje mkuu??
 
Wanawake huwa tunanunua vitu na kuvaa ili kuringishiana wenyewe (wanaume wengi hawajui vitu vya kike). What about you men?

Wengi wetu tunavaa nguo ambazo zinatufanya to feel confident in them, though wapo baadhi wanaovaa to attract the opposite sex.

Ila personally I don't like oversized suit. Mfano Ombeni Sifue, suti zake zinamfanya aonekane too old.

1.jpg


IMG_5828.jpg


Hii hapa though bado koti ni kubwa kidogo but afadhali.

IMG_0135.JPG


Na wale wanaocha tags kwenye sleeves

Suit-sleeve-tags.jpg
 
Wengi wetu tunavaa nguo ambazo zinatufanya to feel confident in them, though wapo baadhi wanaovaa to attract the opposite sex.

Ila personally I don't like oversized suit. Mfano Ombeni Sifue, suti zake zinamfanya aonekane too old.

1.jpg


IMG_5828.jpg


Hii hapa though bado koti ni kubwa kidogo but afadhali.

IMG_0135.JPG


Na wale wanaocha tags kwenye sleeves

Suit-sleeve-tags.jpg
Oops picha zimenigomea eti. Ila nimekuelewa sana, na mimi sipendi mtu Anayevaa nguo oversized, unataka kunenepa nayo au vipi? Kuna watu unakuta hadi ule usmart design kama unafichwa na nguo kubwa. Mtu anavaa nguo inamfit hadi raha jamani. Anyway mwisho wa siku mtu anavaa anachojisikia
 
Anyway mwisho wa siku mtu anavaa anachojisikia

Kitu ambacho nime-note kwa wanawake wengi ni kuwa kama wanaenda kwenye mnuso watajitahidi wavae nguo ambayo haitavaliwa na mwanamke mwingine kwenye mnuso.

Akikuta mwanamke mwingine amevaa nguo kama yake au inayofananania na nguo yake anakuwa siyo mwenye furaha tena.

Lakini sie wanaume kama nimepiga jezi yangu ya Simba na nikamkuta jamaa nae katinga ya Simba ndiyo kwanza tunakuwa buddies.

Women want to be unique, though wakati mwingine ikija fashion fulani wengi wao wanaifuata kiasi kwamba ukikatiza town unajiuliza hivi hawa wanawake hawana staili nyingine ya kuvaa?

I looove women who have a unique style that reflects their individuality.

Dah! JF imebadilika sana. Haven't been here for a while.
 
Kitu ambacho nime-note kwa wanawake wengi ni kuwa kama wanaenda kwenye mnuso watajitahidi wavae nguo ambayo haitavaliwa na mwanamke mwingine kwenye mnuso.

Akikuta mwanamke mwingine amevaa nguo kama yake au inayofananania na nguo yake anakuwa siyo mwenye furaha tena.

Lakini sie wanaume kama nimepiga jezi yangu ya Simba na nikamkuta jamaa nae katinga ya Simba ndiyo kwanza tunakuwa buddies.

Women want to be unique, though wakati mwingine ikija fashion fulani wengi wao wanaifuata kiasi kwamba ukikatiza town unajiuliza hivi hawa wanawake hawana staili nyingine ya kuvaa?

I looove women who have a unique style that reflects their individuality.

Dah! JF imebadilika sana. Haven't been here for a while.
Hahaha you know us well, uanamke ni kazi eti. Kweli ntajitahidi nitoke kivyangu vyangu, kufanana sitaki.

I remember graduation ya dini ya form six tulivaa nguo light blue. My friends (walikuwa wa madhehebu mengine) wakaniambia nisivae kiatu cheusi as ntakuwa sawa na wengine, nitafute heel ya grey ili niwe unique eti. Then siku tumeenda shopping, kuna a certain girl akawa ameona suti nzuri duka fulani hivi, unfortunately akawa ameishiwa hela so akaomba awekewe ile suti akaongezee hela... kurudi akakuta wasichana wengine nao wamenunua suti kama ile yake. Alighairi kununua kabisa akaenda shona kitambaa. So wanawake tuna kama vicomplications fulani lol.

Yeah jf inabadilika daily, welcome back
 
  • Thanks
Reactions: EMT
So wanawake tuna kama vicomplications fulani lol.

Ni kweli.

Huu uzi umenikumbusha mbali sana. Tulijadili baadhi ya mambo yanayojadiliwa humu: Wanawake wanavutiwa na 'details' gani za suti za wanaume?

Mkuu vaa suti ikuvutie wewe, sio mwanamke. The rule of thumb: hata siku moja usinunue suti kwa ajili ya kumfurahisha mwanamke. Nilishawahi kuuliza wanawake wa hapa hapa JF kama walishawahi kutovutiwa na mwanaume aliyevaa suti iliyomkaa. Sikupata jibu. So, nunua na vaa suti inayokutosha kulingana na unapoenda.

Kumbuka kuvaa suti si lazima tuu kumvutia mwanamke. Otherwise, wanaume wote wanaovaa jeans wangekuwa hawawavutii wanawake. There is something more in a man which attract a woman than a suti. Pia suti inaweza kukufanya uonekane nadhifu na mwenye heshima ndani ya jamii kwa ujumla.

Tatizo ambalo huwa naliona ni kuvaa suti visivyo. That is the big big problem. Zipo sheria sheria ambazo zinatakiwa kuzifuatwa unapovaa suti. Kama hutafuata hizi sheria unaweza kujikuta upo matatani kwa kuvunja moja ya sheria hizo. Sheria zenyewe ambazo nimezinyakua mahali ni kama ifuatavyo. Unapovaa suti au tai hakikisha huvunji sheria hizi hapa chini:-

1. Ni marufuku kuvaa kandambili au malapa
2. Ni marufuku kuvaa soksi mbovu.
3. Ni marufuku kujisaidia uchochoroni.
4. Ni marufuku kupenga kamasi barabarani.
5. Ni marufuku kupanda daladala.
6. Ni marufuku kuendesha baiskeli au pikipiki.
7. Ni marufuku kucheka cheka hovyo.
8. Ni marufuku kuomba change dukani.
9. Ni marufuku kubeba mfuko wa plastiki maarufu kama rambo
10. Ni marufuku kuingia kwenye kibanda cha simu.
11. Ni marufuku kula magengeni.
12. Ni marufuku kuonekana unatafuna barabarani.
13. Ni marufuku kutembea na pesa za sarafu mifukoni mwako.
12. Ni marufuku kulia hata kama umeletewa taarifa ya msiba.
14. Ni marufuku kupiga miruzi.
15. Ni marufuku kuonekana unatoka mijasho kama unasukuma mkokoteni.
16. Ni marufuku kuongea kwa kelele.
17. Ni marufuku kunywa chai au kahawa kwa kutumia kikombe cha plastiki.
18. Ni marufuku kutembea kwa miguu.
19. Ni marufuku kukimbia.
20. Ni marufuku kunuka mdomo wala kikwapa hili kosa kubwa sana na hukumu yake mpaka mbinguni ipo.
21. Ni marufuku kusema uongo.
22. Ni marufuku kuonekana umekasirika unatakiwa uwe na uso uliokunjuka.
23. Ni marufuku kumchapa mtoto.
24. Ni marufuku kusababisha ubishi au mjadala usio na maana (hata hapa JF).
25. Ni marufuku kuvaa suti na lebal yake (hii nimeongezea)

Source: HABARI NA MATUKIO: ZIJUE SHERIA ZA UVAAJI WA TAI NA SUTI

Kama huwezi kuzifuata hizo sheria, stick with the jeans, which is my favorite.
 
Kitu ambacho nime-note kwa wanawake wengi ni kuwa kama wanaenda kwenye mnuso watajitahidi wavae nguo ambayo haitavaliwa na mwanamke mwingine kwenye mnuso.

Akikuta mwanamke mwingine amevaa nguo kama yake au inayofananania na nguo yake anakuwa siyo mwenye furaha tena.

Lakini sie wanaume kama nimepiga jezi yangu ya Simba na nikamkuta jamaa nae katinga ya Simba ndiyo kwanza tunakuwa buddies.

Women want to be unique, though wakati mwingine ikija fashion fulani wengi wao wanaifuata kiasi kwamba ukikatiza town unajiuliza hivi hawa wanawake hawana staili nyingine ya kuvaa?

I looove women who have a unique style that reflects their individuality.

Dah! JF imebadilika sana. Haven't been here for a while.
Kweli umepotea nilitaka nikuulize umepotelea jukwaa gani maanake kule kwa Chelsea sijakuona loooong time.
 
Duuh I was watching AMVCA, wakaka na visuti vyao looh, sio kwa kupendeza kule. Afu well fitted suits na body structure ya mtu inaonekana yani hadi nimeshindwa nimchague nani., hakuna mambo ya metre 6 lol
Suti nazo zina miili yake mama, mwingine ukimkuta na msuti wake unatamani umtie kwenzi.
 
Kupendeza nadhani ni kipaji pia mtu anazaliwa nacho kuna watu wanavaa nguo za gharama mno na Brand kubwa kubwa ila akipita haonekani kupendeza kabisa...Ila mwingine umepiga mtumba wa kuchaguachagua Kikombaa ukipita kila mtu anataka umuuzie hizo nguo zako jinsi ulivyotokelezea...
Thats true, kuna mtu hata afanyaje hapendezi, bado ataonekana kituko tu.
 
100%. Kuna watu wanatupia dope stuff, ila wanafanya vionekane regular. And vice versa.

Kuna watu nikiwaona wamevaa kitu, hata kama nakikubali vipi ndio nakipotezea hapo hapo.

Kuna watu hawawezi kupendeza hata wafanyaje. Karapina, Roma, Fid Q, Mwana FA, Busta Rhymes, Akon(?), Flava flav, etc.
Hivi ni kutokujijulia au?? Serious unaweza ukawa unakikubali kitu hatari ila mtu akakufanya ukakichukia kwa kuona tu mtu kakivaa na alivyochukiza.
Mie nahisi sio kila fashion ni ya kila mtu, ukijijulia ni poa sana.
 
Suti nazo zina miili yake mama, mwingine ukimkuta na msuti wake unatamani umtie kwenzi.
Hahaha ndo maana unaambiwa Usichague mchumba kwenye sherehe. Kila mkaka was "mwaaaaaah". Afu wengi wana vile vimiili vyangu navyovipenda Koh Koh

Bana kuna mtu akivaa suti unajikuta tu umenuna kama inakuhusu vile
 
Hahaha ndo maana unaambiwa Usichague mchumba kwenye sherehe. Kila mkaka was "mwaaaaaah". Afu wengi wana vile vimiili vyangu navyovipenda Koh Koh

Bana kuna mtu akivaa suti unajikuta tu umenuna kama inakuhusu vile
Mwanaume mwingine unamkuta anamitako na mapaja makubwa ila naye anataka avae hizi suruali zao za kubana, uwiiiii unabaki kuona aibu wewe unayemtazama.
 
Back
Top Bottom