Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Aaah tufanye tu kuunganisha ubabe wa kinyaki na kijaluo, tutamtoa mtu manunduWeee kwenye kupigwa hutaamini kama ndio atoto huyu au mwingine, nakuwa mdogo ulezi umesingiziwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah tufanye tu kuunganisha ubabe wa kinyaki na kijaluo, tutamtoa mtu manunduWeee kwenye kupigwa hutaamini kama ndio atoto huyu au mwingine, nakuwa mdogo ulezi umesingiziwa.
Hahahaaaa!! Raha ya manundu umtoe mwingine, nitakushikia pochi mnyaki wangu uonyeshe kazi.[emoji12]Aaah tufanye tu kuunganisha ubabe wa kinyaki na kijaluo, tutamtoa mtu manundu
Hahah me nambana na haya matege, wewe unampiga na uchogo gwako khaaa mbona harudii tehHahahaaaa!! Raha ya manundu umtoe mwingine, nitakushikia pochi mnyaki wangu uonyeshe kazi.[emoji12]
Hahahaaaa!! Na kweli labda guchogo gukapungua kidogo.Hahah me nambana na haya matege, wewe unampiga na uchogo gwako khaaa mbona harudii teh
We mtot hebu kuwa na staha kidogo, kuna baba zako humu!Mwanaume mwingine unamkuta anamitako na mapaja makubwa ila naye anataka avae hizi suruali zao za kubana, uwiiiii unabaki kuona aibu wewe unayemtazama.
Khaaaaah!! Staha kwenye nini sasa?We mtot hebu kuwa na staha kidogo, kuna baba zako humu!
Leo ndo nimekuelewa kimtindo kachaa.. Kula gwara jemedariDrop your expertise, and help another brother get his style and grace together in this fashionable world we live in.
DOs
..Vaa viatu visafi kila mara. Attention unayovipa viatu vyako inaelezea unavyojithamini.
..Vaa nguo zinazokutosha sawia. Sio za kubana sana, wala zisiwe kubwa mno.
..Oga na jali usafi bro. Usafi ni afya.
DONTs
..Usichomekee kamwe kama mkanda haufanani na rangi ya kiatu chako.
..Usivae suti na huna usafiri, hata wa kukodi. Utachoreka tu.
..Usijichubue kamwe.
Karibuni.
Hii ndo ya msingi zaidi mazee..DO....work out.
Kimtindo nimekuelewa.. Ila usiwe mbishi sanaaaaHiyo yote ni mitindo iliyowahi au inayopendelewa na watu flani. Binafsi nabuni staili yangu mwenyewe, wengine wanasema sipendezi, but i love my stlye
...sio kila lafudhi au maneno yanamkubali kila mtu...
Mwanaume mwingine unamkuta anamitako na mapaja makubwa ila naye anataka avae hizi suruali zao za kubana, uwiiiii unabaki kuona aibu wewe unayemtazama.
Sasa bwana paulo wasipokipraktizi watakijua lini? Acha wajifunze ukisikia kakosea mrekebishe ili akiweze, jakuna aliyezaliwa na lugha, wote tulijifunza, na tunajifunza kwa kuongea, hata hiki kiswahili tu bado ni mtihani.Kuongea kingereza sio tatizo, kama unakijua na kinakukubali. Kuna watu huwa wanalazimisha kuongea kama walivyosikia watu wa showbiz kiwanja wakiongea, na inakuwa matatizo. Design kama Salama kwenye vipindi vyake, akiswitch tu kusindikiza na lugha huwa na-mute kwa muda.
Sasa bwana paulo wasipokipraktizi watakijua lini? Acha wajifunze ukisikia kakosea mrekebishe ili akiweze, jakuna aliyezaliwa na lugha, wote tulijifunza, na tunajifunza kwa kuongea, hata hiki kiswahili tu bado ni mtihani.
Mdogo mdogo hata roma haikujengwa kwa siku moja, na ndio maana umeleta uzi huu ili turekebishane, haukusema tuache kuvaa.
Hahaaaaa umenikumbusha bwana nasibu, huwa naishia tu kuona aibu mimi.Kujifunza ni poa sana. Na anayejifunza unamjua tu. Halafu kuna wale kina Mchomvu (sina uhakika kama bado anafanya hivyo siku hizi). Salama pia huwa analazimisha lafudhi fulani hivi mara kadhaa akijaribu kuongea hiyo lugha.
Tukiongea kwa lafudhi zetu za kisukuma tabu....tukiiga za kimarekani tabu.......kazi ipoKujifunza ni poa sana. Na anayejifunza unamjua tu. Ila kuna wale kina Mchomvu (sina uhakika kama bado anafanya hivyo siku hizi). Salama pia huwa analazimisha lafudhi fulani hivi mara kadhaa akijaribu kuongea hiyo lugha. Rapa wa Salasala nae huwa anazingua balaa.
Najaribu kuemagine msukuma akitaka kuweka kaslang, uwiiii!!Tukiongea kwa lafudhi zetu za kisukuma tabu....tukiiga za kimarekani tabu.......kazi ipo
Naomba nisiingilie ugomvi wa mtu na mashemeji zakeNajaribu kuemagine msukuma akitaka kuweka kaslang, uwiiii!!
Alafu wewe ni mchochezi, nikidundwa unahusika.Naomba nisiingilie ugomvi wa mtu na mashemeji zake