Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia Jirani...Unanisumbua asubuhi asubuhi kwanini lakini
Jirani baby wako kashatekwa na baby mwingine baada ya kukuachia wewe asubuhi hii hii..Nilikua busy na baby wangu jirani
Ndio kaniachia asubuhi hii
Jirani jamani usiseme hivyo nikaanza kulia hapa kwa jinsi navyomuamini na kumpenda baby wangu.Jirani baby wako kashatekwa na baby mwingine baada ya kukuachia wewe asubuhi hii hii..
Tumekubaliana hivyo kijiweni Jirani... Ukinyanyuka mwingine anakaa, kama siti ya daladala...Jirani jamani usiseme hivyo nikaanza kulia hapa kwa jinsi navyomuamini na kumpenda baby wangu.
Ila hana hizo tabia bana, ni mtu mwema
Embu nifungulie pm Jirani nikubembeleze usilie...Jirani jamani usiseme hivyo nikaanza kulia hapa kwa jinsi navyomuamini na kumpenda baby wangu.
Ila hana hizo tabia bana, ni mtu mwema
Kumbe ndio zenu eehTumekubaliana hivyo kijiweni Jirani... Ukinyanyuka mwingine anakaa, kama siti ya daladala...
SitakiiiEmbu nifungulie pm Jirani nikubembeleze usilie...
Jirani unakaza sana...Sitakiii
Wewe unamsingizia na unatuonea wivu jirani, kwavile tunapendana na wewe uko single.
Hujuagi kukata tamaa jirani?Jirani unakaza sana...
Legeza kidogo....
Siyo binti tuu. Bali binti mbichi...Hahahaa una uhakika gani me ni binti
Nifungulie pm uone vile navyokata tamaa faster jirani...Hujuagi kukata tamaa jirani?
Hiyo avatar isikudanganye jirani ohoooSiyo binti tena. Bali binti mbichi...
My instincts zasema wewe ni kigoli...Hiyo avatar isikudanganye jirani ohooo
Huku hakuaminiki
Nimegoma kufungua, ukate tamaa hapa hapa kwa comments.Nifungulie pm uone vile navyokata tamaa faster jirani...
Usiziamini sana jiraniMy instincts zasema wewe ni kigoli...