Sofa linanifaa haswa Jirani...Jamvi sina jirani, kwangu kuna sofa tu. Labda nikakununulie sokoni
Nikianguka, nitashauri uwe unakuja kunipa nafuuNakushauri uvute kiti ukae wakati unasubiri, usije choka miguu bure ukaanguka jirani yangu
Siwezi anguka Jirani, kule napoendaga kunanipa stamina ya ajabu Jirani...Nakushauri uvute kiti ukae wakati unasubiri, usije choka miguu bure ukaanguka jirani yangu
Si utapita mitaa ya huku leo? Utaliona ukijaSofa linanifaa haswa Jirani...
Embu fungua pm nilione hilo sofa...
Hahahaa no wonder unaenda kila siku jirani, kumbe ndio moja ya faida zake hizi.Siwezi anguka Jirani, kule napoendaga kunanipa stamina ya ajabu Jirani...
Nitapita Jirani, na ushuke gorofani la sivyo narusha ma apple yakuumize...Si utapita mitaa ya huku leo? Utaliona ukija
Wewe muoga Jirani alafu hupendi kuchoka, utanipa faida ya kukubeba Jirani...Hahahaa no wonder unaenda kila siku jirani, kumbe ndio moja ya faida zake hizi.
Na mimi si unipeleke
Navyoyapenda, ndio utasababisha nisishuke ili ikirusha niyadake niyaleππNitapita Jirani, na ushuke gorofani la sivyo narusha ma apple yakuumize...
Lakini SI unajua sharti la kula Jirani...Navyoyapenda, ndio utasababisha nisishuke ili ikirusha niyadake niyaleππ
Uliweeeee πLakini SI unajua sharti la kula Jirani...
Ukila na wewe sharti... Malizia mwenyewe....
Uwaa Jirani, ila mimi sitakukula...Uliweeeee π
Lakini jirani me sijakuomba hizo apple, umejipendekeza mwenyewe kwahiyo hiyo ya kuliwa haiapply hapo
Basi usiziokote na kuzila, ziache zikupige zianguke...Uliweeeee π
Lakini jirani me sijakuomba hizo apple, umejipendekeza mwenyewe kwahiyo hiyo ya kuliwa haiapply hapo
Mwili wangu haujazoea hizo mambo jirani, ndio shidaWewe muoga Jirani alafu hupendi kuchoka, utanipa faida ya kukubeba Jirani...
Nijaribu nini, ndio ile kwangu jirani.Uwaa Jirani, ila mimi sitakukula...
Nitakutazama tu, hata ukinipa nitakataa embu jaribu uone Jirani....
Jirani wewe ni kavivu...Mwili wangu haujazoea hizo mambo jirani, ndio shida
Embu fungua pm nione kama kweli hudanganyiki...Nijaribu nini, ndio ile kwangu jirani.
Sidanganyikiiiii
Marahaba kibungoπππ