Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Birthday blessing babe sis Darlin ๐ŸŒน

We ni mtu poa sana
Kamrembo ka ukoo ๐Ÿ˜ sijui hata ni ukoo gani
Kacrush ka mzee wa Azam (hii ione kama huioni)

Nipo nimekaa hapa Himo nafikiria maneno mazuri ya kukuandikia ๐Ÿ˜‚
Our veree charming gelo- mtu na mistory yake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yesu akutunze D
Ubarikiwe mpk ushangae, ukawe mwaka wa kheri nyingi zaidi. Kicheko kisikupungue ๐Ÿ˜˜

Nakupenda ๐ŸŒน๐Ÿค—โค๏ธ
Baadae nikikumbuka maneno mengine nitakwambia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Birthday blessing babe sis Darlin ๐ŸŒน

We ni mtu poa sana
Kamrembo ka ukoo ๐Ÿ˜ sijui hata ni ukoo gani
Kacrush ka mzee wa Azam (hii ione kama huioni)

Nipo nimekaa hapa Himo nafikiria maneno mazuri ya kukuandikia ๐Ÿ˜‚
Our veree charming gelo- mtu na mistory yake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Yesu akutunze D
Ubarikiwe mpk ushangae, ukawe mwaka wa kheri nyingi zaidi. Kicheko kisikupungue ๐Ÿ˜˜

Nakupenda ๐ŸŒน๐Ÿค—โค๏ธ
Baadae nikikumbuka maneno mengine nitakwambia ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ila dada kwann we mtu wa vayolensi jaman
Hadi ka basideeee nisikile na furaha

Anyway nitadeal na hili kesho. Utakuta ka email ka kukususpend๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Thank you sisyโค๏ธ
I mean sisy kibungo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Amina mpenzi wangu

Baraka zikawe nasi sote dada kipenzi
Nakupenda dadaโค๏ธ mwenye usumbufu wake mjini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
My roli modo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kamanda kipensi
Jemedari jide๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ila dada kwann we mtu wa vayolensi jaman
Hadi ka basideeee nisikile na furaha

Anyway nitadeal na hili kesho. Utakuta ka email ka kukususpend๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Thank you sisyโค๏ธ
I mean sisy kibungo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Amina mpenzi wangu

Baraka zikawe nasi sote dada kipenzi
Nakupenda dadaโค๏ธ mwenye usumbufu wake mjini๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
My roli modo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Kamanda kipensi
Jemedari jide๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ jiandae twende Sinza pazuri

Kabla ya kutuma ka email unatakiwa kuomba ruhusa majuu

Amen young kibungo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mambo ni hiviiii mdogo wangu mzuri

Tuendelee tulipoishia ๐Ÿฅ‚๐ŸŒน๐ŸŽ‚โ™ฅ๏ธ
 
Yaani sijui hata naona wako serious mwezi huu kweli .. Inakera mtu huna hata kosa unazuiliwa tu dah Depal
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ jiandae twende Sinza pazuri

Kabla ya kutuma ka email unatakiwa kuomba ruhusa majuu

Amen young kibungo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Mambo ni hiviiii mdogo wangu mzuri

Tuendelee tulipoishia ๐Ÿฅ‚๐ŸŒน๐ŸŽ‚โ™ฅ๏ธ
Sinza huko kuna burudani kwa watu wote me naogopa bana
Twende hata masaki tukashangae shangae

Kwa maneno mazuri vile ruhusa shwaaaaaa ushapata sema lingine

Cheers ๐Ÿฅ‚โค๏ธ
 
Yaani sijui hata naona wako serious mwezi huu kweli .. Inakera mtu huna hata kosa unazuiliwa tu dah Depal
Yani hujajua kosa lako kweli?
Siku ile ulikua unashangilia ugomvi, shauri lako lilifikishwa kwenye kamati๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Pole sana
Umefanya kosa gani tena?
Au umerusha ngumi mdogo wangu?
Tumekumiss pia
Alaf umekosa leo kuna mzigo ulipanda kule wa kufungulia mwaka
asante sana kaka shikamoo . Nimeona mzigo ubarikiwe kwa kweli .
 
Pole sana
Umefanya kosa gani tena?
Au umerusha ngumi mdogo wangu?
Tumekumiss pia
Alaf umekosa leo kuna mzigo ulipanda kule wa kufungulia mwaka
hata sikuwa nashangalilia , kosa langu ni hili usiku nimeshtuka naona comments hazipo kuhoji mara mbili mara shwaa you are unable to reply hadi tarehe fulani
 
Sinza huko kuna burudani kwa watu wote me naogopa bana
Twende hata masaki tukashangae shangae

Kwa maneno mazuri vile ruhusa shwaaaaaa ushapata sema lingine

Cheers ๐Ÿฅ‚โค๏ธ
๐Ÿ˜‚ huko kote kubaya
Twenzentu Sanya juu
 
Yaani sijui hata naona wako serious mwezi huu kweli .. Inakera mtu huna hata kosa unazuiliwa tu dah Depal
๐Ÿ˜‚ nilionaa
Wanaingilia mpk uhuru wa chats za watu
Mpk mtu akathubutu kusema โ€˜some ppl wanajuana na mods ndo maana
Aloooo .. poleni kwa upepo mbaya unaowakuta
 
Back
Top Bottom