Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Huyo simuulizi, namuambia, na intro nshampa hapo juu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ntakuchapa [emoji23]
Kamwambie chemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo simuulizi, namuambia, na intro nshampa hapo juu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatariii tupuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@Mjep njoo hapaaa uambiweee.Ntakuchapa [emoji23]
Kamwambie chemba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliiiiKunywa maji kwanza mume hajibiwi hivo [emoji1787]
Mbna mabwakuu sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwenyewe hapa nacheka ila sijui nacheka na nini? [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweliiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ye mwenyewe machepele yake yote anaibiwa bwana na mama mtumishi, mie na yeye huku mwaka wetu, tunaachwa km soseji iliyokosa mlaji.Ndio mume anabembelezwa
Mambo ya chumbani, msiyalete nje!
Dada yako Cute hakukupa kitchen party? [emoji23]
Mbna mabwakuu sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ye mwenyewe machepele yake yote anaibiwa bwana na mama mtumishi, mie na yeye huku mwaka wetu, tunaachwa km soseji iliyokosa mlaji.
Kwanza natamani akujee.
Woiiiih [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora yeye anaibiwa wakati hayupo, mie ndo nanyakuliwaa live live huku naonaaa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo mwaka wenu wa kunyakuliwa mabwana?!
Hii imeenda aiseee!!
Huyo mama mtumishi ajiandae dada ako akirudi!
Nasikia kichaa kinampandaga akiona mtu anamnyapia mume wake
Nomaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Agaaajaaaa!! Hatareee [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora yeye anaibiwa wakati hayupo, mie ndo nanyakuliwaa live live huku naonaaa.
Nchii ngumu hii wallah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hujapewa taarifa nimeachwaa, kuna toleo jipyaa mjini limeniporaaa.
Nime surrender woiiih
Nomaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii thread nayo haina maisha marefu[emoji23][emoji23][emoji23]We mtoto niache, nacheka kwa sauti afu nipo sehemu haihitaji kelele.
Watanigongea ss hivi wajue kimepanda [emoji23][emoji23]
Kwahiyo umeporwa mume huku unaona?![emoji23]
Dah! Watu wabaya sana
Weka wazi basi, mambo ya mafumbo tena vipi?Unajizima dataa eeeh??
Nikulipue hapa hapa?
Afu uache uongo hata hufanani, unafiki na ukuda haukufaiii, najua unajua.
Nweiiii mambo yako nakuachia mwenyewe, taarifa niko nayo.
[emoji23]
Hii thread nayo haina maisha marefu[emoji23][emoji23][emoji23]