Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Ndio mume anabembelezwa
Mambo ya chumbani, msiyalete nje!
Dada yako Cute hakukupa kitchen party? [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ye mwenyewe machepele yake yote anaibiwa bwana na mama mtumishi, mie na yeye huku mwaka wetu, tunaachwa km soseji iliyokosa mlaji.

Kwanza natamani akujee.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ye mwenyewe machepele yake yote anaibiwa bwana na mama mtumishi, mie na yeye huku mwaka wetu, tunaachwa km soseji iliyokosa mlaji.

Kwanza natamani akujee.

[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo mwaka wenu wa kunyakuliwa mabwana?!
Hii imeenda aiseee!!
Huyo mama mtumishi ajiandae dada ako akirudi!
Nasikia kichaa kinampandaga akiona mtu anamnyapia mume wake
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwahiyo mwaka wenu wa kunyakuliwa mabwana?!
Hii imeenda aiseee!!
Huyo mama mtumishi ajiandae dada ako akirudi!
Nasikia kichaa kinampandaga akiona mtu anamnyapia mume wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora yeye anaibiwa wakati hayupo, mie ndo nanyakuliwaa live live huku naonaaa.

Nchii ngumu hii wallah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora yeye anaibiwa wakati hayupo, mie ndo nanyakuliwaa live live huku naonaaa.

Nchii ngumu hii wallah.

We mtoto niache, nacheka kwa sauti afu nipo sehemu haihitaji kelele.
Watanigongea ss hivi wajue kimepanda [emoji23][emoji23]

Kwahiyo umeporwa mume huku unaona?![emoji23]
Dah! Watu wabaya sana
 
We mtoto niache, nacheka kwa sauti afu nipo sehemu haihitaji kelele.
Watanigongea ss hivi wajue kimepanda [emoji23][emoji23]

Kwahiyo umeporwa mume huku unaona?![emoji23]
Dah! Watu wabaya sana
Hii thread nayo haina maisha marefu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom