Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Sijaelewa kitu hapo, anaongea kwa mafumbo sana. Aweke mambo waziAcha umbea [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa kitu hapo, anaongea kwa mafumbo sana. Aweke mambo waziAcha umbea [emoji23]
Weka wazi basi, mambo ya mafumbo tena vipi?
Namnyapia nan tena?Wewe nawe msubiri mkeo arudi mmalizane [emoji23]
Nasikia uko kunyapia, uko huru ss hivi
Wala sio umbea, naona kaweka mafumbo tu wakati anaweza kuweka wazi[emoji23]Aloo! Mkeo kashakuambukiza umbea [emoji23]
Unaendeleza kashkashi zake!
Sijaelewa kitu hapo, anaongea kwa mafumbo sana. Aweke mambo wazi
Namnyapia nan tena?
Mm napenda mtu aseme straight sio mafumbo[emoji23]Cute kakuharibu sana, kweli umependa mpk mmeanza kufanana [emoji23]
Wala sio umbea, naona kaweka mafumbo tu wakati anaweza kuweka wazi[emoji23]
Mama mtumishi ana jina zuri sana tayana wag, ananichanganya. Nikijua anaposali nitaanza kwendaCocastic kasema dada ake anaibiwa mume na mama mtumishi[emoji23]
Eti mwaka wao wa kuibiwa
Mm napenda mtu aseme straight sio mafumbo[emoji23]
Mama mtumishi ana jina zuri sana tayana wag, ananichanganya. Nikijua anaposali nitaanza kwenda
[emoji23][emoji23] basi sawaWaache wapendanao hao [emoji23]
Kwanza unataka kujua nini?
Yako yanakushinda, ya wenzio utayaweza?
Hapa soon nalala, navuta tu muda. Usingizi wenye stress huwa hauji kirahisiKalale mkeo anakusubiri [emoji23]
Wenzio saa hii wanatafuta watoto
[emoji23][emoji23] basi sawa
Hapa soon nalala, navuta tu muda. Usingizi wenye stress huwa hauji kirahisi
Yule ndio ananipa stress nampenda sana, anasafiri sana sipati muda mwingi wa kukaa naeUna stress wakati upo huru, mkeo hayupo unatongoza unayemtaka [emoji23]
Ebu nikalale sitaki kusutwa
Mume wangu ananisubiri tufanye kilimo cha watoto [emoji12]
Yule ndio ananipa stress nampenda sana, anasafiri sana sipati muda mwingi wa kukaa nae
Wala sijatongoza, nimemsifia tu mama mtumishi ana jina zuri
[emoji23]Good Morning kwako kipenzi changu mwanamke mwenye stara zake mjini, usiye na makuu wala hunaga dogo. Boss lady unayemiliki maduka ya nguo na vipodozi mjini. Boss unayependewa na wengi. Boss mrembo hapo hutumii makeup [emoji168] wala filter. Boss una nafasi ya kipekee katika roho yangu. Nakupenda sana malkia wangu wa nguvu Antonnia
Good Morning to you Lovelovie Saint Anne cocastic Tayana-wog Cute Wife Mnara wa Tz Amkenii kumekuchaaaaaaa mnalala na hamna hela [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu hawana huruma kabisaa yaan.We mtoto niache, nacheka kwa sauti afu nipo sehemu haihitaji kelele.
Watanigongea ss hivi wajue kimepanda [emoji23][emoji23]
Kwahiyo umeporwa mume huku unaona?![emoji23]
Dah! Watu wabaya sana
Shem mbna unacheka sanaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]