[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii sana.Bora umesaidia hapa, hiyo ni sasa hivi sasa piga hesabu miaka hiyo
Coca kama hutajali umesoma nn na wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii sana.
Hata sahivi, km Hujaenda UD, bado hujaenda chuo kikuu, labda wa Afya wao na MUHAS yao.
Ila kwingine, UD ihusike. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ubaki hapa.Nisubiri tuondoke wote [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shem kwann lakiniii??Oyaa wewe umezungukwa na michicha kama yote, kwa nn usipeleke huko mahari?
umeanza😅Oyaa wewe umezungukwa na michicha kama yote, kwa nn usipeleke huko mahari?
Oyaa wewe umezungukwa na michicha kama yote, kwa nn usipeleke huko mahari?
Shem mie sijasoma bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca kama hutajali umesoma nn na wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu sema kweli, ila chuo ni nyokoo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tena we nyamaza kabisa
Uko UD ila weekend unakipeleka kibama MU
Hivi si tuliaga twende tukalale mdogo ake Kyuti
Bora umesaidia hapa, hiyo ni sasa hivi sasa piga hesabu miaka hiyo
[emoji23][emoji23] kitandani
Mlishajimaliza, mm kazi yangu ni ku-press enter buttonumeanza[emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shem kwann lakiniii??
press 'enter' or any key to start gameMlishajimaliza, mm kazi yangu ni ku-press enter button
Sina haraka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan niondoke nae, nimpeleke kwa uduguuu angu. Kashalewa huyuuWewe na huyo shem wako kuna kitu mnakitafuta [emoji23]
Mchukue muondoke kashaanza kulewa!!
Kwan mkewe yuko wapi?[emoji23]
unajua nilishangaa imekuwaje hawa wana hizi tabia, dooh kumbe ndio basi tena[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila shem kwann lakiniii??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ubaki hapa.
Wanasema usianzishe ugomvi wa mawe ikiwa unakaa nyumba ya vioo[emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nikachekee store
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem umelewa wee, emu lala huko.unajua nilishangaa imekuwaje hawa wana hizi tabia, dooh kumbe ndio basi tena
Huyu nae itakua kabakiza kipande kidogo sana kuaga rasmi mashindano
Na amelewaa haswaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mume wa kyuti ameanza kulewa asije kurusha chupa bure akanibonda nayo [emoji23]