Bora hata umuambiee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mabwakuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nigawie mie pesa hizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas.Huyu anataka kukurudia ila anawaza anarudije??[emoji23]
Ebu mpe nafasi nyingine mmeo nawe mfyuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngojaa toleo jipya lianze kupasua vyombo huko lilipo.[emoji23][emoji23][emoji23] mke wa mjep nitafutie mume basi nawe
Kumbe ana gari, mbna sijawahi kuliona mie.Njoo tukakope tuweke bond gari ya mmeo [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We kaa tusubiri chakula mme wa kyuti yupo kitchen kufanya mafekeche [emoji1787][emoji1787]
Wengi gani bana, nipo na kyuti tu. Hapa nilipo nishammiss[emoji7]Yupi? Mana anao wengi, alafu me humu mgeni bado sijapata mume nitafutie basi.[emoji23]
Na mm naona vibe kama lote. Leo nipo na samaki[emoji1787][emoji1787], wamekuja bila kuparwa nimetumia saa nzima kuwapara[emoji1787]Vibe la kumaliza mkopo wa kausha damu [emoji23]
Nasubiri huo msosi nijionee [emoji39]
Sema umempenda yupi, nikuunganishieNitafutie manzi wa kumkaza basi, nasikia wapo warembo wa kushato [emoji1787]
Na masufuria nilinunua kwa mama ake mdogo na kyutiWe kaa tusubiri chakula mme wa kyuti yupo kitchen kufanya mafekeche [emoji1787][emoji1787]
Hello Le professel
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas.
Kakuambia anataka turudianee? Anae wake shatta shatta.
Waache waoanee. Kwa sauti ya Chegge.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngojaa toleo jipya lianze kupasua vyombo huko lilipo.
Wee haya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipee screenshots nionee.Ndio kaniambia anataka kurudia koloni lake [emoji23]
Kumbe ana gari, mbna sijawahi kuliona mie.
Woiiiih hatariiii.
Hujuii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wee kumbe wanapasua vyombo wakikasirika?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo kwanza nakusikia hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enhee!! Analo jeusi [emoji23]