Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,762
Unazingua inatakiwa itangazwe mara tatu ili wale wapingaji wajitokeze.Naolewa kimya kimya mie? Akati harusi itakua ktk Chanel mbali mbali za TV.
JF kutakua na crew yao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Star km mie, afu kimya kimya? Nani kasema.
Hapo ndio ananivuruga sana, sema kikiiva kipo vizuri sana. Ni lifundi sema basi tu anajilemaza
Noumaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haogopi kabisa!
Kashafuzu kawa master shivo
Asu mabakuli kashindikana
Huyu atampindua Agrey kashakua konki [emoji23][emoji23]
Endelea kusubiriaNimekaa hapa kinyonge nasubiri kumensheniwa
Kwa navyompenda, nitavumilia tu[emoji23][emoji23]
Kyuti kiboko atakutia aibu kwa wazazi wako siku ukimpeleka D2
Itatangazwaaa miez 3, wenye pingamizi wajitokezee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unazingua inatakiwa itangazwe mara tatu ili wale wapingaji wajitokeze.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vocha za buree wanapataa, si shem wao kwa toleo jipyaa, anawapa kwa muamalaa.
Useme wanalia kisa chimbo LA kupepesuka nalo wamelifyekelea mbali na ukute hawakua na chimbo lingine, mbna kisangaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sisi wengine, JF iko mabegani kila tunapo timba oyaaa oyaaa.
Noumaaaa!!!
Kwa navyompenda, nitavumilia tu
Rabekaaa kaka mkubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nakufaa kwa kuchekaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ko chimbo la kupepesukia limefyekwa??
Nasikia mbona hata miamala hawapewi ndiomana daily wana stress hawako active na magazeti yao.
Na toleo jipya kaachika kaambiwa kafanye kazi na wewe una vipira km mimi tu[emoji23][emoji23]
Itatangazwaaa miez 3, wenye pingamizi wajitokezee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Harusi ninayooo mbna.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alooo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] notification za likes, zinanivuruga na zinaogopeshaa.[emoji23][emoji23]
Mbona harusi nyingi nitashindwa kujigawanya.
Haya nani huyo kafika bei?
Anataka kuchukua goma la boss?
Anataka battle na boss ataweza?!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nakufaa kwa kuchekaaa.
Naogopaa lakiniii, afu najistukiaa.
Sio wa kufanya haya lakinii, hebu mniombeee nitokwe na huu upepo mchafu.
Nifundishe kunyamaza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyewe naliangusha kwa bed now.Mdogo ake kyuti naenda kulala [emoji23][emoji23]
Nisije kusutwa bure hapa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] notification za likes, zinanivuruga na zinaogopeshaa.
Nimechagua kuwa kimyaa, sijasema kitu mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwenyewe naliangusha kwa bed now.
Kesho nayo siku.