Mention someone without any reason just to disturb them

Wewe baki JF tufurahi, kwanza utoke mumeo umuachie nani??
Alafu shem alisema ole wako uuze id hiyo hawezi kukuelewa, km una shida ya pesa useme.
Pesa zake zipo kwaajiri yako na huwezi kuzimaliza [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo alivyo kuambia? Hivi nikuambie au nikuachee?
Naona nikae kimyaa, kusitiriana muhimu.
 
We mtoto hauna adabu kabisa, wakati hayo maembe ndio nimekusomeshea...☹️
Tangu umenunua sim huko daslam naona umesha jiona wa mjini..🤨
Mzee una nongwa🤣😂😂, mi nime kutaja ili wajue kizazi Cha nyoka ni nyoka 🤣😂😁.
👉Au hutaki kuwa maarufu Kule gamboshi😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…