Yes I love her. Na ww nitakupenda kama hivyo
Yes.Kama ni hivo ni vizuri utakuwa mfano wa kuigwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mume yupiii? Na mie niko singo.Km nakuona unavyochekelea had jino la mwisho [emoji23][emoji23]
Unampenda mumeo wewe usituchoshe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo alivyo kuambia? Hivi nikuambie au nikuachee?Wewe baki JF tufurahi, kwanza utoke mumeo umuachie nani??
Alafu shem alisema ole wako uuze id hiyo hawezi kukuelewa, km una shida ya pesa useme.
Pesa zake zipo kwaajiri yako na huwezi kuzimaliza [emoji23][emoji23]
Nitakutembelea siku moja.Yes.
Karibu sana.Nitakutembelea siku moja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mume yupiii? Na mie niko singo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo alivyo kuambia? Hivi nikuambie au nikuachee?
Naona nikae kimyaa, kusitiriana muhimu.
Wewe ni exceptional, nitamuambia ukweli tu[emoji23]Wewe unasema tu hapa
Kyuti akitokea unakataa yote km sio wewe.
Alafu unaniachia msala hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitakuja shemeji akiwa amesafiri.Karibu sana.
Mzee una nongwa🤣😂😂, mi nime kutaja ili wajue kizazi Cha nyoka ni nyoka 🤣😂😁.We mtoto hauna adabu kabisa, wakati hayo maembe ndio nimekusomeshea...☹️
Tangu umenunua sim huko daslam naona umesha jiona wa mjini..🤨
Nalala sana siku hizi.. Jana nilichelewa lalaUsiwaze, halafu sijakuona kwenye jumuiya leo
Pole sana aiseeNalala sana siku hizi.. Jana nilichelewa lala
Pamoja boss wake.Pole sana aisee
Oukay, kwahiyo kesho saa ngapi?Pamoja boss wake.