Bangi hizo π€£π€£π€£π€£π€£π€£
huu hapa uzi;Happy New Year my pipo
Nimewamiss mno
Mahondaw cocastic Missy Gf Joannah Tayana-wog binti kiziwi Zulu man Ms eyes Dr Lizzy mshamba_hachekwi raraa reree Omulasil Mpaji Mungu Half american Unique Flower Tlaatlaah Rabbitus Saint Anne Dejane Shunie Mjep Mshana Jr Glenn Leejay49 na wengine niliowasahau wote All members
Haya kabla ya yote wale wa uzi wa mafoto vipi?!! Mbona naingia nakuta uzi umefungiwa tena?!!! Kwan kilitokea nini wapendwa?
Hebu nipeni samarre kwanza π₯Ί
Mi nishakuja na li album langu la mifoto ya holiday na baby wangu nakuta mauzauza..!!
Nini kimetokea??
Una uhakika wanawake wa Miongozo hawapo uko? Sitaki baadae uzi ufungwe na picha nikiwa sija delete km ule wa mwanzo π€£π€£π€£huu hapa uzi;
Show za kibabe
Vyakula Vinywaji Viwanja Viwalo Vyovyote, popote tupiamo[emoji173][emoji173][emoji173] Sent using Jamii Forums mobile appwww.jamiiforums.com
kaweke picha nikukumbuke
Hatumuachii π€£π€£π€£
Naachaje kuringa kwa mfano na najua hadi password zakeπ!Hatumuachii π€£π€£π€£
Tuko naye sambamba mpk kila mtu ajue nafasi yake, bi mkubwa nani na bibi wadogo na michepuko nani?!
Ila udugu unaringa ss hivi na hizo Cc zenu, MTAACHANA alisikika dog master πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Ntakupigia udugu unipe ubuyu vzr π€£π€£π€£Naachaje kuringa kwa mfano na najua hadi password yake ya jfπ!
Ukishajua ukahitaji kufahamu mengi zaidi nicheki kwa namba ile ileeee pas
Afu uache ukorofi udugu unanichora tu hapa mfyuuu !
Hayanaga fomula kuachana kawaida sana mbona . Dog anahahajeee!
Uduguuu unapenda umbea kuliko hata kula π€ πππ
πππ Dah ww dogoLenie shostiyo Mwachiluwi karejea jukwaani
beshtie yako lenie alikumithiπππ Dah ww dogo
beshtie yako lenie alikumithi
ngoja ajeπMbona sijamsikia akisema π
π€£π€£π€£Lenie shostiyo Mwachiluwi karejea jukwaani
ππππ Af. Soon tena napotea nimewamic pia nipo Kongo nawasaidia kupigana
Uwii unajua hata kuua panya wewe?ππππ Af. Soon tena napotea nimewamic pia nipo Kongo nawasaidia kupigana
Ahahaha sasaiv najuwa kua mpaka mendeee ππUwii unajua hata kuua panya wewe?
Nitumie basi hata ya nyama choma najua huko Kongo maisha yatakua safiiiπAhahaha sasaiv najuwa kua mpaka mendeee ππ
Nikutumie kwenye fuso ππNitumie basi hata ya nyama choma najua huko Kongo maisha yatakua safiiiπ