KhaπNikutumie kwenye fuso ππ
Kuna fuso kesho Lina kuja uko na vumbi la Kongo mshamba_hachekwi kaagiza piaKhaπ
Usanii huo
Kuna fuso kesho Lina kuja uko na vumbi la Kongo mshamba_hachekwi kaagiza pia
Jina tu lina onyesha sio wa kawaidaπinaitwa kurzgesagt Intelligent businessman
Haya lete tuone hiyo title, usikute Ume vurugwa na mvinyo π€πIntelligent businessman oi najua we ni mzuri wa kuandika nyuzi. Nikupe title uwaandikie mods
Wanaharibu sana upande wa PM
Haya lete tuone hiyo title, usikute Ume vurugwa na mvinyo π€π
Nime Lia Sanaππ€, na hivi huwa Sina wa kuchati nae pm.Andika kwamba waturudishie page namba PM. Jana ilikuwepo, ila naona leo wameiondoa tenA. Hii iliyopo ni mbaya sana. Inatuwia ugumu kurudi previous Sms za mabebi zetu.
Jana nimeona kuna pg namba km ambavyo ilikuwaga zamani b4 walete mabadiliko.
Kwakweli old is gold bana
Hii mpya inachefua
Kick out ndo ikoje??Wamegoma kurudisha na kick out huko PM. Wanatakiwa wajue jf ya browser ni nzuri pia, watuache nayo. Wengine App inatuzingua Intelligent businessman
Ukimaliza kulia nyamaza uweke uziNime Lia Sanaππ€, na hivi huwa Sina wa kuchati nae pm.
Zamani palikuwa na kick out. Km mm na ww tunachat Pm. Nikiclick hiyo kick out, nakuremove kwenyw hiyo chatting na sms zinafutika kwako pia.Kick out ndo ikoje??
Ila Sasa hivi si Wana Ile leave out, ambayo una jitoa tu??Zamani palikuwa na kick out. Km mm na ww tunachat Pm. Nikiclick hiyo kick out, nakuremove kwenyw hiyo chatting na sms zinafutika kwako pia.
Jf ya zamani ilikuwa nzuri
Mabadiliko yanazidi kuifanya iwe mbaya