Mention someone without any reason just to disturb them

Not a big deal as that πŸ˜†
 
kwahiyo nina uniqueness ya aina yake @raraa reree🀣 ? Maana ile picha nilipiga siku ile ile. Haikuwa from gallery.

Ban ambalo hata halinihusu. Kugombaba mgombane nyie, ila ban mpk wapambe 😭
Mguu umekuponza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuna watu wenye nongwa naona wamepeleka list ambao hatutakiwi kuwepo mle.!!
Nyie wenyewe mligombana siku ile ukafungwa, itakuwa wameangalia chain ya wakorofi wote ndio hivyo…. Tumelala yoooo!! 🀣🀣🀣🀣
 
Na ban haina uplifted date,Maana yake ni foreva sijui. Atakuwa Sele amereport, maana wengine waliobaki wambea, vile vitu ndio vitu vyao. Hawawezi choma kijiji
 
Na ban haina uplifted date,Maana yake ni foreva sijui. Atakuwa Sele amereport, maana wengine waliobaki wambea, vile vitu ndio vitu vyao. Hawawezi choma kijiji
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ww utakosa pesa ya matumizi ujue!! Unamuitaje mumeo Sele 🀣🀣🀣
Ila ule uzi hapana tuandamane mods waturudishe tupate burudani sie tupoteze mawazo ya madeni
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Uwiiiiii uwiiiii uwiiiiiiii uwiiiiiiiiiii
Weeeeh acha basi bina em subiri narudi badae kidg unipe umbea full fuliiiiiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hana jeuri hiyo anakupenda sana huyo, bina halafu uzi wa selfika umerudi 🀣🀣🀣
🀣🀣🀣 ila we dada weweπŸ™ŒπŸΏ ....tuhekaheka unatupenda kweliπŸ₯΄
 
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™ŒπŸΏ
 
🀣🀣🀣 ila we dada weweπŸ™ŒπŸΏ ....tuhekaheka unatupenda kweliπŸ₯΄
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mi nipo humu kufurahi tyuu!!
Ndiomana sina adui wa kudumu, naweza tukachambana baadae nikakukuta sehemu ina hekaheka umenichekesha nacheka vzr…!!
Sinaga bifu na fake id’s ambazo hata sijui zinafananaje 🀣🀣🀣🀣
Napenda hekaheka na umbea kuliko kula
 
Ule uzi unakufaa aisee,sema wanajisahau tu kujianika kilakitu kwako afu wanakutibua tena.Jitahidi kupuuzia baadhi ya vitu unavyosikia umesnitchiwa na marafiki....hapo utakuwa umewin Kabisa.....mwanzoni mie nilikuwa sikuelewi Kabisa lakini kupitia comments zako nikajua wewe ni mtu wa namna gani na uchukuliweje
 
Humu mi napachukulia sehemu ya kuburudika ila sio ndio unitibue nikuache wee nakula sahani moja na wewe!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hivi humu kabisa nipate ugonjwa wa moyo kwa kusemwa na mtu ambaye hanijui zaidi ya maandishi yangu?? Mi ukinisnitch aiseee lazima nikushangaze niko hivo sikueki kiporo wala situnzi deni 🀣🀣🀣🀣
Kuna watu bila ya kuwakanda watakupanda kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…