Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Mi nimepigwa ban alafu sina kosa lolote🀣🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Na mi nashangaa nimekuta notification ya ban, hata wasingejisumbua mods mana nilishaamua kuachana nao kitambo

Sema utapoa km mkojo wa ngedere, ule uzi ulitakiwa uchangamshwe uwe heya heya, hiya hiya full mparara 🀣🀣🀣🀣
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Na mi nashangaa nimekuta notification, hata wasingejisumbua mods mana nilushaamua kuachana nao kitambo

Sema utapoa km mkojo wa ngedere, ule uzi ulitakiwa uchangamshwe uwe heya heya, hiya hiya full mparara 🀣🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣Wacha watupe ban wabaki wenye uzi wao kina binti masozy.
Sie wengine wapambe nuksi tukae kando🀣🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣Wacha watupe ban wabaki wenye uzi wao kina binti masozy.
Sie wengine wapambe nuksi tukae kando🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ binti whaaaaaaaaaatttt!!!!!
Aiseee!! Kuna mmoja kashaharibu huko kaenda na id mpya halafu kajiselfie na picha yake ya zamani nimecheka…. Wananzengo wamemshtukia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi kuna watu kumbe hawawezi kuishi bila uzi wa selfika?? Mi wamenipiga ban ya kuchangia ila manjegeka nayaona vzr….
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ binti whaaaaaaaaaatttt!!!!!
Aiseee!! Kuna mmoja kashaharibu huko kaenda na id mpya halafu kajiselfie na picha yake ya zamani nimecheka…. Wananzengo wamemshtukia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hivi kuna watu kumbe hawawezi kuishi bila uzi wa selfika?? Mi wamenipiga ban ya kuchangia ila manjegeka nayaona vzr….
Nani huyoooo πŸ˜‚πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Back
Top Bottom